Serikali yamjibu Tundu Lissu baada ya kuituhumu, Yasema sio busara kulumbana na mgonjwa

Yesu Kristo alikuwa mtii hadi kifo. Hata alipokaribia kufa aliwaombea wajusika kwa Mungu. "Baba Mungu uwasamehe kwani hawajui watendalo"
Kwa falsa ya Yesu Kristo, kitu pekee kitakachompa umaarufu Tundu Lissu Kwa siku zijazo ni kuwa mpole, kutokutoa tuhuma kwa mtu yeyote na kuwaombea wale waliohusika katika jaribio la Kumuua.
Kuendelea kulumbana na wahusika utaendelea kupunguza usalama wako.
Kuna kijana moja alimshambulia PAPA John2. Huyu PAPA alienda gerezani kumtembelea huyu kijana na kuongea naye. Papa alimsamehe huyu kijana.
Tundu Lissu atakua umejiwekea hazina mbinguni kama utawasamehe waliokupiga risasi.
Hili hulioni leo lakini kesho utalikiri.
Yesu alikuwa Mungu; huwezi toa mifano ya mesiya na binadamu; Lissu ana haki kuhoji haki zake na mamna shambulio lilivyokuwa.
 
Si atoke akafungue kesi,stori stori za nini wakati ni professional lawyer!
Wenye akili wanamuelewa; mimi na wewe ni mbumbumbu tukae kimya; ndo maana kaenda nchi za waliostaarabika wanaokuuzia wewe hivyo vi Bombadia unavyotamba navyo kila asubuhi.
 
Wenye akili wanamuelewa; mimi na wewe ni mbumbumbu tukae kimya; ndo maana kaenda nchi za waliostaarabika wanaokuuzia wewe hivyo vi Bombadia unavyotamba navyo kila asubuhi.
Intimidation never works proper with me.mbumbu ni wewe tu,mie wazungu nawaona watu tu isipokuwa ngozi yao ni kama ya mtoto mchanga. Kama hujastaarabika ni wewe mie najitambua,najithamini pia.
Nikuulize kitu!hivi wazungu hawafi? Kama wanakufa kwenda kutibiwa huko ni ujinga wa kiwango cha lami.
 
Mnalopaswa kulifanya nyie serikali ni kumhudumia kwa kulipa gharama za matibabu ili apone haraka na kurudi kuijenga nchi yake. Malumbano hayatakuwa na tija.
 
Mbowe alikataa katakata Lissu asipelekwe Muhimbili ili kufuata taratibu za matibabu nchini...Inashangaza kwa sasa wanalilia Serikali na Bunge ziingilie matibabu wakati bado wakiituhumu serikali kuhusika.
Serikali ikimuhudumia lissu ambaye matibabu yake yamekiuka taratibu za rufaa za wagonjwa nchini kwa kiasi kikubwa sana ina maana inafungulia mlango wa kila mgonjwa wa kitanzania anayehisi tatizo lake linatatuliwa nje ya nchi ataenda nje ndio baadae atake huduma za Serikali.
mlikuwa mnataka kumkawiza ili aoze au? au mlikuwa mnataka kumuulia hapo? mlivosema hakuna matibabu nje lengo lilikuwa lisu mkishamshambulia mje mummalizie muhimbili
 
Mnalopaswa kulifanya nyie serikali ni kumhudumia kwa kulipa gharama za matibabu ili apone haraka na kurudi kuijenga nchi yake. Malumbano hayatakuwa na tija.
Mmemkimbiza wenyewe ili asitibiwe kwa utaratibu wa kawaida wa serikali...sasa mnalalama kama watoto!
 
Mnalopaswa kulifanya nyie serikali ni kumhudumia kwa kulipa gharama za matibabu ili apone haraka na kurudi kuijenga nchi yake. Malumbano hayatakuwa na tija.
Mmemkimbiza wenyewe ili asitibiwe kwa utaratibu wa kawaida wa serikali...sasa mnalalama kama watoto!
 
Msemaji wa Serikali amesema kuwa, Mbunge Tundu Lissu bado ni mgonjwa na yuko wodini hivyo Serikali haioni busara kulumbana naye kwa sasa, badala yake inaendelea kumuombea apone haraka.



----
Leo Mh. Tundu Lissu akiwa Hospitali ya Nairobi amezungumza na wananchi na kuituhumu Serikali ya awamu ya tano kuwa na mkono kwenye shambulio lake la risasi( attempted political assassination).

Kuhusu alichosema Lissu, Soma => Nairobi, Kenya: Tundu Lissu aituhumu Serikali ya Tanzania kwa jaribio la kutaka kumuua na Bunge kutomhudumia Matibabu


Huyo lissu ni mungu ua nani
 
Mbowe alikataa katakata Lissu asipelekwe Muhimbili ili kufuata taratibu za matibabu nchini...Inashangaza kwa sasa wanalilia Serikali na Bunge ziingilie matibabu wakati bado wakiituhumu serikali kuhusika.
Serikali ikimuhudumia lissu ambaye matibabu yake yamekiuka taratibu za rufaa za wagonjwa nchini kwa kiasi kikubwa sana ina maana inafungulia mlango wa kila mgonjwa wa kitanzania anayehisi tatizo lake linatatuliwa nje ya nchi ataenda nje ndio baadae atake huduma za Serikali.
[HASHTAG]#Huwezi[/HASHTAG] kumlipia gharama uliyenuia kumuua#
 
Intimidation never works proper with me.mbumbu ni wewe tu,mie wazungu nawaona watu tu isipokuwa ngozi yao ni kama ya mtoto mchanga. Kama hujastaarabika ni wewe mie najitambua,najithamini pia.
Nikuulize kitu!hivi wazungu hawafi? Kama wanakufa kwenda kutibiwa huko ni ujinga wa kiwango cha lami.
Hivi ni kwa nini mama yako alienda Hospital wakati wa kujifungua kukuzaa wewe??, ni kwa nini hakuamua kukaa tu nyumbani akajifungua kwa sababu kule Hospital alizalishwa na wanaume ambao ni sawa na baba yako??, Unaweza kujiuliza ni kwa nini babayo alishindwa kumsaidia mkewe kujifungua hadi akaamua kuwapelekea wanaume wenzie??, Kwani madaktari hawafi??.
JIBU LAKO = SABABU YA LISU KWENDA NJE KUTIBIWA.
 
Hivi ni kwa nini mama yako alienda Hospital wakati wa kujifungua kukuzaa wewe??, ni kwa nini hakuamua kukaa tu nyumbani akajifungua kwa sababu kule Hospital alizalishwa na wanaume ambao ni sawa na baba yako??, Unaweza kujiuliza ni kwa nini babayo alishindwa kumsaidia mkewe kujifungua hadi akaamua kuwapelekea wanaume wenzie??, Kwani madaktari hawafi??.
JIBU LAKO = SABABU YA LISU KWENDA NJE KUTIBIWA.
Ulikuwepo kumbe
 
site tumwombee mgonjwa alone kama tulivyoshirikiana kulaani watu wasiojulikana. vinginevyo tunataka asipone au..!?
 
Intimidation never works proper with me.mbumbu ni wewe tu,mie wazungu nawaona watu tu isipokuwa ngozi yao ni kama ya mtoto mchanga. Kama hujastaarabika ni wewe mie najitambua,najithamini pia.
Nikuulize kitu!hivi wazungu hawafi? Kama wanakufa kwenda kutibiwa huko ni ujinga wa kiwango cha lami.
Mkuu kesho ukiambiwa na boss wako kwamba unakwenda US safari ya kikazi nafikiri ukifika kwako lazima ufanye sherehe.

Pamoja na maneno ya Trump kesho asubuhi nenda ubalozi wa US uone foleni ya kuomba visa.

Wale si wametuzidi tu maendekeo bali pia wastaarabu.
 
Mkuu kesho ukiambiwa na boss wako kwamba unakwenda US safari ya kikazi nafikiri ukifika kwako lazima ufanye sherehe.

Pamoja na maneno ya Trump kesho asubuhi nenda ubalozi wa US uone foleni ya kuomba visa.

Wale si wametuzidi tu maendekeo bali pia wastaarabu.
Tehehe,mkuu hata nikiambiwa naenda Tandahimba nitafurahi tu..siyo kukutana na wamalaba hapana,ila najua kuna imprest kulipwa !! Posho mchezo. Hayo mengine nay..neda..no,..hapana hayana mvuto( kwangu lakini.)
 
Kwisha habari yake
Screenshot_20210324-011832.png

He survived to tell a tale
 
Back
Top Bottom