Serikali yamjibu Tundu Lissu baada ya kuituhumu, Yasema sio busara kulumbana na mgonjwa

KWELI KIJANA UNA HOJA, KUNA HOFU KILA MAHALI
condolence to Lissu.PNG
condolence to Lissu.PNG
 
Mtu hawezi kuzuiwa kutoa damu. Shida iliyopo watoke watu kunihoji wakisindikizwa na brass band na magazeti kutoka Sinza kwenda Muhimbili hiyo ndiyo inakera watu wasiompenda na kukutajia folenia magari. BUNGE halijakataa kumhudumia, anajua taratibu. Ajaze fomu, aendenayo Muhimbil, atibiwe hapo. MOI is one of the best in the world angekuwa na akili tayari angeshapona zamani..

William hayo ni mawazo yako tu, lakini je Sheria husika ya 2008 unajua inasemaje kuhusu matibabu na stahiki za Wabunge wanapougua?

Pia Serikali yenu ina uhuru wa kupeleka muswada wa mabadiliko ya Sheria ile au vifungu vyake ili visomeke wanavyotaka awamu ya 5.
 
Hivi mwajiriwa wa serikali akienda bar akanywa pombe kisha akazungumza, serikali inakuwa imezungumza? ....siku hizi maamuzi ya serikali si yale yanayofanywa na baraza la mawaziri ambapo mwenyekiti ni rais?
 
Lissu ana hoja gani? Ya kudanganywa aseme intellectual trash, ya kudanganywa akaombe Nazi Acacia ili ampige risasi asingizie serikali?

Aliyejaribu kumuuua yuko pembeni yake na atakuwa nae Brussels, atahakikisha anarudi akiwa si mwanasiasa tena, atawaachia chama cha kuingiza pesa na harakati zitaisha. Alibaki yeye na SAA eight, Kibatari ana udhaifu mwingi wa kibinadamu kazi yake rahisi.

Nani mwingine anaweza kuwa mwenyekiti chadema? Nani mwingine anaweza akasumbua kuwa mgombea urais was chadema?

Mwanasheria mwingine wa chama anatakiwa aongezwe maji, awe diluted hasa, anaweza kuleta watu, anaweza kuleta usumbufu. Tunaanza na media, asisikike!
 
Mbowe alikataa katakata Lissu asipelekwe Muhimbili ili kufuata taratibu za matibabu nchini...Inashangaza kwa sasa wanalilia Serikali na Bunge ziingilie matibabu wakati bado wakiituhumu serikali kuhusika.
Serikali ikimuhudumia lissu ambaye matibabu yake yamekiuka taratibu za rufaa za wagonjwa nchini kwa kiasi kikubwa sana ina maana inafungulia mlango wa kila mgonjwa wa kitanzania anayehisi tatizo lake linatatuliwa nje ya nchi ataenda nje ndio baadae atake huduma za Serikali.
Hivi yule mzee wa bakora aka SUPIKAWA GOLDEN kale kaugonjwa
Mbowe alikataa katakata Lissu asipelekwe Muhimbili ili kufuata taratibu za matibabu nchini...Inashangaza kwa sasa wanalilia Serikali na Bunge ziingilie matibabu wakati bado wakiituhumu serikali kuhusika.
Serikali ikimuhudumia lissu ambaye matibabu yake yamekiuka taratibu za rufaa za wagonjwa nchini kwa kiasi kikubwa sana ina maana inafungulia mlango wa kila mgonjwa wa kitanzania anayehisi tatizo lake linatatuliwa nje ya nchi ataenda nje ndio baadae atake huduma za Serikali.
Hivii yule mzee wa bakora ndefu aka SUPIKAWA FISIEM.. Mjengoni kale kaugonjwa kake mliweza kumuwahisha (mwimbili) au mlipitiliza mojakwamoja APOLO?
LISSU kamwambia asisahau kumtembelea Belgium kwakuwa Nairobi alishindwa kumtembelea
 
Jamani wagonjwa wa akili hawajibiwi. Mwacheni mgonjwa kwanza ale dawa za schizophrenia kule Ubeligiji. Akipona ndio muanze kumsimanga. Hakumbuki kitu anaropoka tu.
 
William hayo ni mawazo yako tu, lakini je Sheria husika ya 2008 unajua inasemaje kuhusu matibabu na stahiki za Wabunge wanapougua?

Pia Serikali yenu ina uhuru wa kupeleka muswada wa mabadiliko ya Sheria ile au vifungu vyake ili visomeke wanavyotaka awamu ya 5.
Sheria haijabadilika ya mwaka 2008 ilianzia 1958 Legco na iko hivyo hivyo Dunia nzima. Mgonjwa hajaza form ya maombi (kama anaumwa sana next-of-kin humjazia. Kujaza fomu si utumwa, ni taratibu za fedha financial regulations). In both cases maombi lazima yaambatishwe na cheti cha Daktari Bingwa wa hospitali ya SERIKALI. Ikishafika kwa Speaker, hupewa idhini na posho, ikielekeza aende hospitali iliyopendekezwa na Daktari Bingwa, mara nyingi ni Hospitali ya Rufaa iliyo karibu, matibabu huwa ni bure. Hospitali binafsi na za Nairobi haziruhusiwi.

Maboresho yaliyopo ni kuwa tangu NHIS ianze roundabout 2012 Bunge kwa busara yake lilichukua bums ya kundi zinapikwa LA wabunge na watumishi wa Ufaransa tote. By the law of large averages, premium ni kiduchu, kwa hiyo wakaruhusu na hospitali binafsi na za nje, mradi taratibu ule ule ufatwe - yaani anzia kwa Daktari Bingwa wa Serkai. Wabunge Ndugai, Mwandosya, Mbatiya, Mwakyembe, Sefu Sharif Hamad, Sitta, wote walitibiwa kwa taratibu huu ila Mhe. Kombani alitutoka. Lissu ni nani abembelezwe?
 
Risasi zimeathiri ubongo wa lissu
Inabidi aambiwe alipopoteza fahamu,chadema walikataa asititibiwe na serikali,ikafikia hatua wakatembeza bakuli
Sasa hivi wanawataka wauaji hao hao watoe pesa!
 
Si kila jambo linakuwa na majibu yakinifu,ni bora kuongea nje ya mada ili mjadala ufungwe.
 
Wekeni ushahidi mezani kama hoja alizosema ni za uongo.
Hebu nanyi wekeni ushahidi mezani kama hoja alizosema huyo tundu la toi ni za kweli, mnafanyiana ya Chacha Wangwe halafu mnajifanya kuzuga, hiyo cdm ina wenyewe, hao wanaotaka kuinua kidole mbele ya kisusio c anatafuta kuihama dunia tuu.
 
Hebu nanyi wekeni ushahidi mezani kama hoja alizosema huyo tundu la toi ni za kweli, mnafanyiana ya Chacha Wangwe halafu mnajifanya kuzuga, hiyo cdm ina wenyewe, hao wanaotaka kuinua kidole mbele ya kisusio c anatafuta kuihama dunia tuu.
Mkuu nyamaza tu usiendelee kuongea yataamka mengi, funika kombe...... apite
 
Hebu nanyi wekeni ushahidi mezani kama hoja alizosema huyo tundu la toi ni za kweli, mnafanyiana ya Chacha Wangwe halafu mnajifanya kuzuga, hiyo cdm ina wenyewe, hao wanaotaka kuinua kidole mbele ya kisusio c anatafuta kuihama dunia tuu.
Akili za Lumumba utazijua tu

Lukwafya
 
Yesu Kristo alikuwa mtii hadi kifo. Hata alipokaribia kufa aliwaombea wajusika kwa Mungu. "Baba Mungu uwasamehe kwani hawajui watendalo"
Kwa falsa ya Yesu Kristo, kitu pekee kitakachompa umaarufu Tundu Lissu Kwa siku zijazo ni kuwa mpole, kutokutoa tuhuma kwa mtu yeyote na kuwaombea wale waliohusika katika jaribio la Kumuua.
Kuendelea kulumbana na wahusika utaendelea kupunguza usalama wako.
Kuna kijana moja alimshambulia PAPA John2. Huyu PAPA alienda gerezani kumtembelea huyu kijana na kuongea naye. Papa alimsamehe huyu kijana.
Tundu Lissu atakua umejiwekea hazina mbinguni kama utawasamehe waliokupiga risasi.
Hili hulioni leo lakini kesho utalikiri.
 
Mbowe alikataa katakata Lissu asipelekwe Muhimbili ili kufuata taratibu za matibabu nchini...Inashangaza kwa sasa wanalilia Serikali na Bunge ziingilie matibabu wakati bado wakiituhumu serikali kuhusika.
Serikali ikimuhudumia lissu ambaye matibabu yake yamekiuka taratibu za rufaa za wagonjwa nchini kwa kiasi kikubwa sana ina maana inafungulia mlango wa kila mgonjwa wa kitanzania anayehisi tatizo lake linatatuliwa nje ya nchi ataenda nje ndio baadae atake huduma za Serikali.
Hata wewe unajua kama Lissu angeletwa muhimbili basi tusingekuwa naye leo, uamuzi ulikuwa sahihi kwa muda muafaka. Kuhusu pesa za matibabu hiyo ni haki yake na si hisani toka kwenu; mtazitoa tu.
 
Back
Top Bottom