Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Wapendwa, hata hivyo Chang'a kajitahidi sana kutengeneza barabara za Arusha. Abarikiwe sana na akafanye hivyo hata huko kwa mtoto wa mkulima!
Ha ha ha haaah!! haya bwana...
Nilikua sijakucheki vizuri hahaha kumbe wakunyumba wa Lyamba Lya Mfipa,sie ndo wazee wa Liyumbi, Stalike, Kibaoani pale njia panda kwa Mzee Pinda na kule kote Kondamoyo, Mpimbwe, Majimoto so Katavi nzima ni yetu sisi na nafurahi kuwa mwanakatavi. Zamani tulikua na msemo wetu wa Rukwa Ruka
Hatimaye Serikali imempeleka Mpanda Estomih Chang'a aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha,huyu ndiye aliyetumiwa na ccm kuchakachua uchaguzi wa Meya Arusha.
Hakika Serikali imekubali hoja na dai la CHADEMA la muda mrefu la kumwondoa Arusha,ni ushindi kwa watu wa Arusha,na wapenda haki wote
Hatimaye Serikali imempeleka Mpanda Estomih Chang'a aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha,huyu ndiye aliyetumiwa na ccm kuchakachua uchaguzi wa Meya Arusha.
Hakika Serikali imekubali hoja na dai la CHADEMA la muda mrefu la kumwondoa Arusha,ni ushindi kwa watu wa Arusha,na wapenda haki wote