Wakuu nasikiliza ITV kwa sasa naona wananchi wa karatu wanampongeza waziri wa maji prf jumanne maghembe kwa kuwapatia huduma ya maji katika eneo hilo,wakionekana ni watu wenye furaha wakaazi wa karatu wamebainisha kuwa baada ya kukosa maji kwa mda mrefu hatimaye imewakumbuka na kuwapatia maji ambayo ilikuwa ni kelo namba moja ktk eneo hilo kwa mda mrefu,maji hayo ambayo yametokana na kisima kirefu kilichochimbwa na serikali imewapa faraja sana wakaazi hao huku wakimwaga sifa kwa chama cha mapinduzi na serikali yake.Rai yangu kwa maghembe asiishie karatu aendelee kwenye maeneo yote yenye shida ya maji.