Serikali yamaliza mgogoro Loliondo uliodumu kwa takribani miaka 26

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Serikali imemaliza mgogoro wa Pori Tengefu la Loliondo uliodumu kwa takriban miaka 26 ambapo itaunda chombo kitakachosimamia eneo la Loliondo ili kunusuru ikolojia ya Hifadhi ya Serengeti na kulinda mazingira na eneo mahsusi la mazalia ya wanyamapori, mapito na vyanzo vya maji.

DQfw9JxUMAE1eXl.jpg
 
Sijaona ufafanuzi kumalizwa kwa huo mgogoro...tuambie umemalizwaje kati ya wananchi, mwekezaji na serikali kwa ujumla.
 
Halafu, ni udenzi na ujuha kuwa na migogoro ya kipuuzi kwenye nchi yako kwa kuwaendekeza wawekezaji.

Only in Africa and I stand to be correct particularly in Tanzania.

Njoo, hapa New Zealand, mgeni uone kama utapewa hata miguu miwili kwa miwili!?
Hata hatua moja tu, hupewi kwa mikataba kama hiyo ya huko Tanzania ya Chief
Mangungo na Mtemi Kimweli.
 
Huu ngogoro umepoteza maisha ya watu wengi sana kwasababu ya viongozi wenye tamaa za pesa na mali, Mungu saidia iwe kweli umeisha.
 
NADHANI YULE MWANDISHI Manyerere aje atueleze akma ni sawa na ameridhika , mana ahilo poru lina figisu figisu kila siku.
 
Migogoro hii itaisha siku serikali ikiweka utaratibu sahihi wa kuwekeza na kuwapa ardhi wawekezaji.

Ila kwa hii /scrambling and partition inayofanywa na viongozi wetu kwa kuwapa wawekezaji hadi makazi ya wananchi katu usitarajie migogoro kukatika katika nchi yetu.
 
Halafu, ni udenzi na ujuha kuwa na migogoro ya kipuuzi kwenye nchi yako kwa kuwaendekeza wawekezaji.

Only in Africa and I stand to be correct particularly in Tanzania.

Njoo, hapa New Zealand, mgeni uone kama utapewa hata miguu miwili kwa miwili!?
Hata hatua moja tu, hupewi kwa mikataba kama hiyo ya huko Tanzania ya Chief
Mangungo na Mtemi Kimweli.
Poise, ongea kama msomi (it seems???) being in New Zealand! Hii mikataba ilikuwa siri, kma una any details , put it here tuone kilichomalizwa ni kipi!
 
Back
Top Bottom