Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 848
- 1,212
Siku ya leo Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam chini ya Jaji Augustino Shangwa imetupilia mbali mapingamizi yote yaliyofunguliwa na Medical Council of Tanganyika kupitia Mawakili wa Serikali.
Ni kwamba mnamo Mwezi Aprili 2013 Medical Council ilinifutia usajili wangu na hivyo kutokuruhusiwa kujihusisha na kazi za kutibu.
Kutokana na maamuzi hayo mnamo Julai 2013 kupitia kwa Prof Abdalah Safari tulikata rufaa Mahakama Kuu kupinga hukumu hiyo. Siku chache baadae Mawakili wa Serikali waliweka pingamizi kwa hoja kuwa rufaa yetu ilikosa vigezo vya kisheria.
Kupitia maamuzi ya leo Mahakama imepanga kuwa kesi ya msingi kuanza kusikilizwa tarehe 10 Februari. Nawasiliaha. Dr. Godbless. C.M
Ni kwamba mnamo Mwezi Aprili 2013 Medical Council ilinifutia usajili wangu na hivyo kutokuruhusiwa kujihusisha na kazi za kutibu.
Kutokana na maamuzi hayo mnamo Julai 2013 kupitia kwa Prof Abdalah Safari tulikata rufaa Mahakama Kuu kupinga hukumu hiyo. Siku chache baadae Mawakili wa Serikali waliweka pingamizi kwa hoja kuwa rufaa yetu ilikosa vigezo vya kisheria.
Kupitia maamuzi ya leo Mahakama imepanga kuwa kesi ya msingi kuanza kusikilizwa tarehe 10 Februari. Nawasiliaha. Dr. Godbless. C.M