blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,092
- 7,468
Kwani nyie mapolisi mnavyo taka kulazimisha watu wawe magaidi mnategemea niniChanjo ya majaribio?? Majaribio ya chanjo hii yalikwisha hata bado hujaambiwa inakuja. Ujinga ndio tatizo kuu la nchi hii. Kama wewe hapa unasambaza taarifa potovu na chuki ndani yake. Haya, tuseme polisi wawe mazombi - wewe au taifa hili litafaidika vipi??
Jielimishe na pata ufahamu wa mambo kabla hujafanya uharibifu kwenye jamii. Acha alama chanya katika dunia hii - ujinga na chuki nenda navyo kaburini.