#COVID19 Serikali yakusudia kuchanja asilimia 60 ya Watanzania Chanjo ya Coronavirus

Chanjo ya majaribio?? Majaribio ya chanjo hii yalikwisha hata bado hujaambiwa inakuja. Ujinga ndio tatizo kuu la nchi hii. Kama wewe hapa unasambaza taarifa potovu na chuki ndani yake. Haya, tuseme polisi wawe mazombi - wewe au taifa hili litafaidika vipi??

Jielimishe na pata ufahamu wa mambo kabla hujafanya uharibifu kwenye jamii. Acha alama chanya katika dunia hii - ujinga na chuki nenda navyo kaburini.
Kwani nyie mapolisi mnavyo taka kulazimisha watu wawe magaidi mnategemea nini
 
Dar es Salaam. Baada ya chanjo ya Covid-19 kuwasili nchini Serikali imejiweka lengo la kuwachanja asilimia 60 ya Watanzania wote.
Waziri wa Afya, Dk Doroth Gwajima amesema awamu ya kwanza ya chanzo hiyo itatolewa kwa makundi ya mstari wa mbele ambayo yatawekwa wazi siku ya kesho...
Huenda mtaanza na wenye kadi za chama
 
Wanataka kutuua
Kuwa ua kwa corona au kwa chanjo? maana umeshaambiwa ni hiyari:kama ilivyo kwa chanjo zote hapa TZ,mfano Homa ya manjano,Hepatitis B,ile ya kansa ya kizazi kwa mabinti.Hutashikiwa kisu,Im sure ikifika unauhitajita utaitafuta mwenyewe tu.
 
Chanjo hamtaki.na wala hamsemi tutumie nini ili Corona isitumalize. Watanzania mmeshindikana.
Wacha tuendelee kuzikana,Ulaya walileta nyodo za hivyo hivyo,walivyoanza kupukutika walizitafuta wenyewe hizo chanjo.

Cha msingi ni serikali kuweka uratibu mzuri wa kuendesha hizo chanjo
 
Dar es Salaam. Baada ya chanjo ya Covid-19 kuwasili nchini Serikali imejiweka lengo la kuwachanja asilimia 60 ya Watanzania wote.
Waziri wa Afya, Dk Doroth Gwajima amesema awamu ya kwanza ya chanzo hiyo itatolewa kwa makundi ya mstari wa mbele ambayo yatawekwa wazi siku ya kesho...
Sayansi si SIASA.

Tusidharau SAYANSI.

Nimeshaliandaa BEGA LANGU kuchomwa hiyo CHANJO.

Siko peke yangu.

Washkaji zangu waliokuwa WANAZIPINGA nao wameamua KUBADILIKA.

Kongole serikali yetu adhimu👍💪💪🙏🙏

#NchiKwanza
#AfyaKwanza
#KaziInaendelea
 
Watanzania hatuko tayari kwaajili ya huo upumbavu unaoitwa chanjo ya corona

Kama wanaitaka wachanje wao na familia zao. Pumbavu kabisa
 
tumechoka Na kelele za chanjo..... si wailete halafu ndo tupigizane makelele.....

#hachomiwi MTU hapa mpaka wabadilishe ile form ya kujaza..... serikali Iwe responsible Kwa madhla yatayo tupata tusije kuwa mazombie......
 
Back
Top Bottom