Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,998
- 144,329
Serikali imekiri Bungeni juu ya uwepo wa kesi hizo ambazo zote zilifunguliwa tarehe 03/07/2018 huko London katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro ya kibiashara ambapo Waziri wa Sheria, Prof.Kabudi alikuwa akijibu maswali ya Zitto alietaka kujua tuna kesi gani kama nchi katika mahakama za kimataifa.
Prof.Kabudi amezitaja kesi hizo kuwa ni shauri Na:LCIA Arbitration UN 173686 na shauri na: UN 1736867 ambapo amesema serikali imeshawasilisha utetezi wake mahakamani.
Maswali yote ya Zitto kwa kirefu kuhusu kesi hizi na majibu ya waziri kwa maandishi utayapata kupitia ukurasa wa twitter wa Zitto Kabwe.
Chanzo:Akaunti ya twitter ya Zitto
Prof.Kabudi amezitaja kesi hizo kuwa ni shauri Na:LCIA Arbitration UN 173686 na shauri na: UN 1736867 ambapo amesema serikali imeshawasilisha utetezi wake mahakamani.
Maswali yote ya Zitto kwa kirefu kuhusu kesi hizi na majibu ya waziri kwa maandishi utayapata kupitia ukurasa wa twitter wa Zitto Kabwe.
Chanzo:Akaunti ya twitter ya Zitto