Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Hata hiyo bilioni 620 anayosema sijui kama kweli imelipwa kama anavyodai!!
Kumbukeni na hii kauli:
Kumbukeni na hii kauli:
Wee siyee tunajuana kwa kilakitu. Wee kaa na CHADEMA yakoNiko CCM, ila JPM kwenye uongozi kafeli pakubwa mno. Sidhani kama 2020 ataruhusiwa kupeperusha bendera ya chama
Uzuri zimeanza kuuzwa kwa wingiiiii
Kwa nn nawao wasichukue dege moja tu
Dadangu,waswahili walisema..ukionwa utupu,unachutama..sio lazima mwonaji aone vyote..Khaa!! nawe awee..anchi dachi...Jamani. Walijisifia wana hela za kununua Korosho zote. Sasa kiko wapi? JPM nakumbuka alivyomuaibisha Majaliwa. Baada ya Majaliwa kusema kapata makampuni ya kununua Korosho.
Ila nadhani Magufuli anapaswa kupimwa akili.
Inasikitisha mpaka sasa hivi wakulima hawajalipwa ilhali Serekale ilisema ina mahela.
Dadangu,waswahili walisema..ukionwa utupu,unachutama..sio lazima mwonaji aone vyote..Khaa!! nawe awee..anchi dachi...Jamani. Walijisifia wana hela za kununua Korosho zote. Sasa kiko wapi? JPM nakumbuka alivyomuaibisha Majaliwa. Baada ya Majaliwa kusema kapata makampuni ya kununua Korosho.
Ila nadhani Magufuli anapaswa kupimwa akili.
Inasikitisha mpaka sasa hivi wakulima hawajalipwa ilhali Serekale ilisema ina mahela.
Yale yalikuwa maneno yakuwafurahisha UVCCM wapige makofi na vigelegeleJamani. Walijisifia wana hela za kununua Korosho zote. Sasa kiko wapi? JPM nakumbuka alivyomuaibisha Majaliwa. Baada ya Majaliwa kusema kapata makampuni ya kununua Korosho.
Ila nadhani Magufuli anapaswa kupimwa akili.
Inasikitisha mpaka sasa hivi wakulima hawajalipwa ilhali Serekale ilisema ina mahela.
Alishajitabiria kuwa atakuwa Mkuu wa Malaika ndio maana hajali mateso ya wengineKama serikali zingekuwa zinaingia mbinguni basi serikali ya jiwe ingekuwa ya kwanza kuingia motoni inatesa sana raia.
Weye nakutafuta kwanini unitukanie Rais wanguJamani. Walijisifia wana hela za kununua Korosho zote. Sasa kiko wapi? JPM nakumbuka alivyomuaibisha Majaliwa. Baada ya Majaliwa kusema kapata makampuni ya kununua Korosho.
Ila nadhani Magufuli anapaswa kupimwa akili.
Inasikitisha mpaka sasa hivi wakulima hawajalipwa ilhali Serekale ilisema ina mahela.
10 Nov 2018
Rais Magufuli amesema hahitaji magari ya wafanyabiashara wengine yafanye kazi ya kusomba korosho zitakazonunuliwa na serikali.
Mh. Rais John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi, wakulima na taifa kwa ujumla kuwa “Pesa za kununua korosho zote zaidi ya tani laki mbili zipo na tumeziweka standby.”
Hahah technology haidanganyi aisee.10 Nov 2018
Rais Magufuli amesema hahitaji magari ya wafanyabiashara wengine yafanye kazi ya kusomba korosho zitakazonunuliwa na serikali.
Mh. Rais John Pombe Magufuli amewahakikishia wananchi, wakulima na taifa kwa ujumla kuwa “Pesa za kununua korosho zote zaidi ya tani laki mbili zipo na tumeziweka standby.”
Hivi kapatia wapi kwemye siasa, uhuru wa habari , mipango ya maendeleo na vipaumnele vyake, mafisadi na ufisadi, wateule wake kama mawaziri wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, au watemdaji wa ngazi mbali mbali Mm sijui najari u kutagufuta nadhani eneo la miradi ya ujenzi japo si kwa leoJPM ni big mistake kwa nchi, natumaini wahusika wameliona hilo, 2015 tulichagua wetu wao wakapindua matokea, sasa waliyempa ame 'screw up' vibaya mno, 2020 watuachie tuchague wenyewe.