Serikali yakiri kuachana na madai ya Tsh. Trilioni 360 za Makinikia

Magufuli aendelee kuungua moto mkali huko aliko. Hizi takwimu za UWONGO alizopika na Prof Mruma ndizo alizotumia kumjeruhi Tundu Lisu. Magufuli aliwaaminisha watu kuwa tunawadai ACACIA USD 190 billion kutokana na ASUMPTION kuwa container moja la 20ft la MAKINIKIA lina 7Kg za dhajabu wakati ukweli ni kwamba lina 0.7Kg. Akawapa matumaini hewa Watanzania na kwa jinsi WATANANIA wengi walivyo wajinga wakamuona ni shujaa au mkombozi au MZALENDO.

Hizo Tsh 360 Trillion au USD 190 Billion kwa exchange rate ya wakati ule hazipo popote. Ni UJUHA tu kuamini taarifa kama hizo. Magufuli alikuwa anadanganya mpaka Shetani anaogopa
Mkuu, kama mahesabu ni 0.7 kg badala ya 7 kg bado tungekuwa tunadai x10 less ambayo ni 36 Trillion. Hiyo nayo ni pesa nzuri sana. Lakini ukweli ni kwamba yote ile ilikuwa ni fix tu... Sijui kwa faida ya nani......!! Mapropesa wa Jalalani (Mruma na Ossoro) ndiyo Chanzo, sijui wanawajibishwaje kwa kulidanganya Taifa pamoja na Rais.
 
Magufuli aendelee kuungua moto mkali huko aliko. Hizi takwimu za UWONGO alizopika na Prof Mruma ndizo alizotumia kumjeruhi Tundu Lisu. Magufuli aliwaaminisha watu kuwa tunawadai ACACIA USD 190 billion kutokana na ASUMPTION kuwa container moja la 20ft la MAKINIKIA lina 7Kg za dhajabu wakati ukweli ni kwamba lina 0.7Kg. Akawapa matumaini hewa Watanzania na kwa jinsi WATANANIA wengi walivyo wajinga wakamuona ni shujaa au mkombozi au MZALENDO.

Hizo Tsh 360 Trillion au USD 190 Billion kwa exchange rate ya wakati ule hazipo popote. Ni UJUHA tu kuamini taarifa kama hizo. Magufuli alikuwa anadanganya mpaka Shetani anaogopa
Wewe pumbaf ni msemaji wa Waziri au wataalam wa Wizara ya fedha au ou punguwani mmoja tu usiye na jinsia yoyote ..kama watanzania wajinga Basi wewe ndie mjinga namba one
 
Mkuu, kama mahesabu ni 0.7 kg badala ya 7 kg bado tungekuwa tunadai x10 less ambayo ni 36 Trillion. Hiyo nayo ni pesa nzuri sana. Lakini ukweli ni kwamba yote ile ilikuwa ni fix tu... Sijui kwa faida ya nani......!! Mapropesa wa Jalalani (Mruma na Ossoro) ndiyo Chanzo, sijui wanawajibishwaje kwa kulidanganya Taifa pamoja na Rais.
Una ushahidi jomba vinginevyo Sheria ya mtandao inakufuata ulipo
 
Wale maprofesa walimwingiza mwendazake cha kike naye akajaa. Eti Trilion 370! Mwisho wa siku wakapewa 700m na kusema ahsante na kufumba mdomo...
Labda nikuulize jomba..una takwimu za madini tangu mwaka 1995 ambazo zimeibiwa na kufekishwa. Kwenye makinikia..labda tuanzie hapo. Halaf tuambie umesoma mpaka darasa la ngapi..hapo ndio utajua hujui
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa ufafanuzi kuhusu wapi zipo shilingi trilioni 360 zilizopo kwenye mashauri ya madai 1,095.

Waziri Nchemba amesema, kuna jumla ya mashauri 400 katika mabaraza ya rufani za kodi (TRAT) yenye thamani ya shilingi trilioni 4.2 na dola za Marekani milioni 3.04 zinaendelea katika mabaraza hayo.

Hata hivyo Dkt. Nchemba amesema, serikali ilikubali kupokea shilingi bilioni 700 kutoka Barrick baada ya makubaliano baina ya timu ya serikali iliyoundwa na Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli kufikia makubaliano ya pande zote na Barrick kuhusiana na madai ya shilingi trilioni 360.

Amesema baada ya makubaliano hayo ndipo ikaundwa kampuni ya Twiga ambayo inamiliki hisa asilimia 16 na Barrick inamiliki asilimia 84 ya kampuni hiyo.

Ufafanuzi huo wa waziri wa Fedha na Mipango unatokana na maswali ya Mbunge wa jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina aliyetaka kufahamu kwa nini serikali imekubali kulipwa shilingi bilioni 700 kutoka kampuni ya Barrick badala ya shilingi trilioni 360 za awali.

View attachment 2365511
How come???!!! Yani trillion 360 ndo ifanye tupate hisa 16% tuu..??? Si uchoko huo

Kama bajeti tu ya nchi kwa mwaka haijawahi fika 25tr!!

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli aendelee kuungua moto mkali huko aliko. Hizi takwimu za UWONGO alizopika na Prof Mruma ndizo alizotumia kumjeruhi Tundu Lisu. Magufuli aliwaaminisha watu kuwa tunawadai ACACIA USD 190 billion kutokana na ASUMPTION kuwa container moja la 20ft la MAKINIKIA lina 7Kg za dhajabu wakati ukweli ni kwamba lina 0.7Kg. Akawapa matumaini hewa Watanzania na kwa jinsi WATANANIA wengi walivyo wajinga wakamuona ni shujaa au mkombozi au MZALENDO.

Hizo Tsh 360 Trillion au USD 190 Billion kwa exchange rate ya wakati ule hazipo popote. Ni UJUHA tu kuamini taarifa kama hizo. Magufuli alikuwa anadanganya mpaka Shetani anaogopa
Wewe unajua container la 20ft linafananaje kweli!
Yaani na wewe unaamini kabisa kuwa kwe copper concentrate (makinikia) ndani ya 20ft container kuna 0.7kg, seriously!!
Kwaiyo kwa akili yako ndogo unaona dhahabu 7kg ni nyingi ndani container la 20ft🤣🤣🤣.Hii nchi CCM itatawala miaka mingi sana,nchi imejaa watu wa ovyo, kwaiyo unaamini hesabu za mwizi kuliko za wataalaamu wetu.Hivi ata wakina Nyerere,Mandela,Nkrumah et al,wangekuwa wanasikiliza mawaidha ya mzungu kuwa hamuwezi kujitawala tungekuwa hapa tulipo.
Ata kama mnapewa bahasha,ni vyema mkawa mnaficha Upuuzi wenu ukouko!
 
Watanzania wengi wehu!

Kulitangazwa kwamba, serikali ijiandae kufilisiwa na Miga Kwa sabb hatua zilizofuatwa kuchunguza na kubanwa Kwa kampuni ya Barik inakwenda kinyume na sheria za kiuwekezaji dunianii na hivyo JPM ataliingiza taifa kwenye hasara kubwa

Matokeo yake b700 tumezikamba Kwa ujasiri wa JPM

Wengi wa watanzania hata ukijitoa kuwapigania utaambulia matusi na dhihaka!

Hatujui tunataka kiongozi wa aina gani,

Licha kuwa tumelamba hizo, bado watu mnadhihaki? Zilizobaki mkazidai na nyie
 
Mkuu, kama mahesabu ni 0.7 kg badala ya 7 kg bado tungekuwa tunadai x10 less ambayo ni 36 Trillion. Hiyo nayo ni pesa nzuri sana. Lakini ukweli ni kwamba yote ile ilikuwa ni fix tu... Sijui kwa faida ya nani......!! Mapropesa wa Jalalani (Mruma na Ossoro) ndiyo Chanzo, sijui wanawajibishwaje kwa kulidanganya Taifa pamoja na Rais.
Kama ni deni ilitakiwa tudai Kodi kwenye hiyo Trillion 36
 
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa ufafanuzi kuhusu wapi zipo shilingi trilioni 360 zilizopo kwenye mashauri ya madai 1,095.

Waziri Nchemba amesema, kuna jumla ya mashauri 400 katika mabaraza ya rufani za kodi (TRAT) yenye thamani ya shilingi trilioni 4.2 na dola za Marekani milioni 3.04 zinaendelea katika mabaraza hayo.

Hata hivyo Dkt. Nchemba amesema, serikali ilikubali kupokea shilingi bilioni 700 kutoka Barrick baada ya makubaliano baina ya timu ya serikali iliyoundwa na Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli kufikia makubaliano ya pande zote na Barrick kuhusiana na madai ya shilingi trilioni 360.

Amesema baada ya makubaliano hayo ndipo ikaundwa kampuni ya Twiga ambayo inamiliki hisa asilimia 16 na Barrick inamiliki asilimia 84 ya kampuni hiyo.

Ufafanuzi huo wa waziri wa Fedha na Mipango unatokana na maswali ya Mbunge wa jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina aliyetaka kufahamu kwa nini serikali imekubali kulipwa shilingi bilioni 700 kutoka kampuni ya Barrick badala ya shilingi trilioni 360 za awali.

View attachment 2365511

SWALI LILISABABISHA KIGUGUMIZI KWA WAZIRI MWIGULU LARUDIWA TENA BUNGENI.​

 
How come???!!! Yani trillion 360 ndo ifanye tupate hisa 16% tuu..??? Si uchoko huo

Kama bajeti tu ya nchi kwa mwaka haijawahi fika 25tr!!

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app

Watanzania wengi wehu!

Kulitangazwa kwamba, serikali ijiandae kufilisiwa na Miga Kwa sabb hatua zilizofuatwa kuchunguza na kubanwa Kwa kampuni ya Barik inakwenda kinyume na sheria za kiuwekezaji dunianii na hivyo JPM ataliingiza taifa kwenye hasara kubwa

Matokeo yake b700 tumezikamba Kwa ujasiri wa JPM

Wengi wa watanzania hata ukijitoa kuwapigania utaambulia matusi na dhihaka!

Hatujui tunataka kiongozi wa aina gani,

Licha kuwa tumelamba hizo, bado watu mnadhihaki? Zilizobaki mkazidai na nyie
Basi msiuwe watu kujiweka madarakani , hamwezi kuongoza nchi ondokeni msimwage damu na kutia watu vilema baadaye mkaifisidi nchi. Ondokeni tujenge nchi
 
Mkuu, kama mahesabu ni 0.7 kg badala ya 7 kg bado tungekuwa tunadai x10 less ambayo ni 36 Trillion. Hiyo nayo ni pesa nzuri sana. Lakini ukweli ni kwamba yote ile ilikuwa ni fix tu... Sijui kwa faida ya nani......!! Mapropesa wa Jalalani (Mruma na Ossoro) ndiyo Chanzo, sijui wanawajibishwaje kwa kulidanganya Taifa pamoja na Rais.
Maprofesa Mruma na Osoro walilazimishwa kuandika anachitaka yeye Magufuli
 
Back
Top Bottom