Serikali yakata rufaa kupinga hukumu ya Jamal Malinzi

Lkn zile mbio za wabunge DDM alizichangia sana tena sana
pia alikuwa Team Lowassa , ikumbukwe kwamba pamoja na Lowassa kurudi ccm lakini wote waliomuunga mkono bado wanasota magerezani , wamo watu wa Kitengo wale waliotoa siri ya jiwe kuambulia kura mil 3 unusu , wako Keko mwaka wa 4 sasa .

Huyu Malinzi ziara ya kwanza baada ya kuupata urais wa TFF alienda kwenye ofisi binafsi ya Lowassa , bado haijafahamika alienda kufanya nini .
 
pia alikuwa Team Lowassa , ikumbukwe kwamba pamoja na Lowassa kurudi ccm lakini wote waliomuunga mkono bado wanasota magerezani , wamo watu wa Kitengo wale waliotoa siri ya jiwe kuambulia kura mil 3 unusu , wako Keko mwaka wa 4 sasa .

Huyu Malinzi ziara ya kwanza baada ya kuupata urais wa TFF alienda kwenye ofisi binafsi ya Lowassa , bado haijafahamika alienda kufanya nini .

Hii ndio shida ya Nchi za Afrika。
 
Wakati mwingine mahakama inapotoa hukumu inafanyia consideration na muda ambao mshtakiwa amekaa rumande, hivyo usione hukumu ni ndogo hiyo inasababishwa na mahakama kujumlishia muda ambao mshtakiwa alikuwa ndani, hao watu nadhani walishakaa ndani sio chini ya miaka miwili/ mitatu.

Shida kwangu inakuja kwa wale wawili waliokutwa hawana hatia, yule mhasibu mwanamke na mwenzake, hawa kwangu ndio wanatakiwa kwenda mahakamani kudai fidia kwa muda wote waliowekwa ndani bila kosa. Ila kwa hii serikali yetu ilivyo, bora wamshukuru Mungu tu kuachiwa salama wakaendelee na maisha yao, wasije enda mahakamani wakageuziwa kesi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pia alikuwa Team Lowassa , ikumbukwe kwamba pamoja na Lowassa kurudi ccm lakini wote waliomuunga mkono bado wanasota magerezani , wamo watu wa Kitengo wale waliotoa siri ya jiwe kuambulia kura mil 3 unusu , wako Keko mwaka wa 4 sasa .

Huyu Malinzi ziara ya kwanza baada ya kuupata urais wa TFF alienda kwenye ofisi binafsi ya Lowassa , bado haijafahamika alienda kufanya nini .
Malinzi kukimbilia ofisini kwa Lowassa alijua Lowassa ndio angekuwa president, hivyo akaenda kujitambulisha kwake, hakujua hii nchi imejaa visa vingi kwenye chaguzi zake. Hata hili la kuwekwa ndani ilikuwa ni kumshikisha adabu tu, wenye mamlaka kuonesha wana nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio Malinzi tatizo ni sheria zetu mbovu.

Yaani makosa ya uhujumu uchumi wa mamilioni faini yake laki 5? are we serius kweli?

Mwanasheria mkuu yupo ofisi, jaji mkuu offisini, waziri wa katiba na sheria yupo ofisini.

Yaani fine haitoshi hata garama ya uendeshaji wa kesi! Serikali inawatumia mawakili na kuwalipa pesa nyingi wakati mwisho wa hukumu ni hasara tupu bora kama hatuna uhakika wa kushughulikia ufisadi bora kuwaacha tu maana hakuna nia njema.
Una uhakika na makosa waliyopatikana nayo ni ya uhujumu uchumi au ufisadi au unajiropokea tu. Hawajakutwa na kosa kama hilo hivyo sioni Sheria kama udhaifu. Acha chuki zisizokuwa na msingi. Watu wanateswa Kwa makosa ya kubambikiana tu
 
Miaka kadhaa iliyopita gazeti la Raia Mwema lilitoa makala,ikimwonesha Rais wa TFF wa wakati huo akiwa mofisini kwa Mzee Lowassa,akieleza mipango ya TFF kwa Lowassa.Wakati huo Lowassa alikuwa ametangaza nia kupita CCM.Gazeti lile lilitoa makala hiyo baada ya Lowassa kupigwa chini na CCM.
 
Tatizo sio Malinzi tatizo ni sheria zetu mbovu.

Yaani makosa ya uhujumu uchumi wa mamilioni faini yake laki 5? are we serius kweli?

Mwanasheria mkuu yupo ofisi, jaji mkuu offisini, waziri wa katiba na sheria yupo ofisini.

Yaani fine haitoshi hata garama ya uendeshaji wa kesi! Serikali inawatumia mawakili na kuwalipa pesa nyingi wakati mwisho wa hukumu ni hasara tupu bora kama hatuna uhakika wa kushughulikia ufisadi bora kuwaacha tu maana hakuna nia njema.
Kwa hiyo judge mkuu abadirishe sheria kinyemela?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom