BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Dah afadhaali maana ..
Benki ni taasisi huru na zinajiendesha kibiashara.Serikali haijazuia mikopo bali benki ndoo zimesimamisha kukopesha.
Mkuu naona ili mkono uende mdomoni yanasifiaMkuu haya majitu yanahitaji japo semina elekezi yajue nini cha kusifia na nini cha kukaa kimya. Maana mwisho wa siku ni aibu.
Mkuu akija kukujibu utanistua nisome alichojibu.Lizaboni na timu yako njooni huku kuunga mkono maana ile ya kwanza ya kuzuia watumishi wenye deni HESLB kukopa mlikesha mkisifia sana "uamuzi" ule. Kama mazombi vile!
Kwa hiyo hii ni uongo! Kabungo ni nani? Achukuliwe hatuka kali kuchonganisha watu na serikali yao