Serikali yakanusha 'kujiuzulu' kwa Magufuli

Akiandika barua hawezi kumpa nakala katibu mkuu wake atapewa rais mwenyewe labda kuptia kwa katibu muu kiongozi, hivyo taarifa imetoka kwa asiye sahihi. Watu sahihi wa kuliongelea ni Pombe mwenyewe, JK na Luhanjo vinginevyo serikali haijatoa taarifa
 
Akiandika barua hawezi kumpa nakala katibu mkuu wake atapewa rais mwenyewe labda kuptia kwa katibu muu kiongozi, hivyo taarifa imetoka kwa asiye sahihi. Watu sahihi wa kuliongelea ni Pombe mwenyewe, JK na Luhanjo vinginevyo serikali haijatoa taarifa

Hiyo ofisi unayofanya kazi haifuati taratibu za Serikali; Barua lazima iwe na Kumbukumbu Na., pia iwekwe kwenye faili (Jalada) husika, Mmiliki wa Majalada yote ya Serikali Wizani ni Katibu Mkuu (Custodian), full stop.

Katibu Mkuu ndie Msemaji Mkuu wa Serikali katika ngazi ya Wizara, pia anaweza kuagizwa na Rais au Katibu Mkuu Kiongozi kutoa ufafanuzi wa jambo lolote kwaniaba ya Serikali, husidhani alijiamulia yeye kutoa ufafanuzi wa Bwana Misifa.

Kama Rais na Katibu Mkuu Kiongozi hawana barua ya kujiuzulu kwa Bwana Misifa, mtu sahihi wanayew kumuuliza ni Katibu Mkuu kama barua ipo kwenye Jalada labda haijafika tu! Kama nae hana katika Jadala ni trick nzuri sana kumwambia Katibu Mkuu ebu kanusha alafu tuone yeye atafanya nini au atasemanini ili 'Tumshughulikie huyo Mpotofu, yaani anataka kusema kwenye list ya ahadi kuna ahadi ya Bomobomo bila kufuata sheria na Taratibu za nchni huku ukiacha watanzania bila makazi?!' Kama akikaa kimia basi tujue anatikisa kiberiti.

Akiendelea kukaa kimia basi ndio ponapona yake ila hafai hata kuwa Barozi wa Nyumba kumi
 
Hiyo ofisi unayofanya kazi haifuati taratibu za Serikali; Barua lazima iwe na Kumbukumbu Na., pia iwekwe kwenye faili (Jalada) husika, Mmiliki wa Majalada yote ya Serikali Wizani ni Katibu Mkuu (Custodian), full stop.

Katibu Mkuu ndie Msemaji Mkuu wa Serikali katika ngazi ya Wizara, pia anaweza kuagizwa na Rais au Katibu Mkuu Kiongozi kutoa ufafanuzi wa jambo lolote kwaniaba ya Serikali, husidhani alijiamulia yeye kutoa ufafanuzi wa Bwana Misifa.

Kama Rais na Katibu Mkuu Kiongozi hawana barua ya kujiuzulu kwa Bwana Misifa, mtu sahihi wanayew kumuuliza ni Katibu Mkuu kama barua ipo kwenye Jalada labda haijafika tu! Kama nae hana katika Jadala ni trick nzuri sana kumwambia Katibu Mkuu ebu kanusha alafu tuone yeye atafanya nini au atasemanini ili 'Tumshughulikie huyo Mpotofu, yaani anataka kusema kwenye list ya ahadi kuna ahadi ya Bomobomo bila kufuata sheria na Taratibu za nchni huku ukiacha watanzania bila makazi?!' Kama akikaa kimia basi tujue anatikisa kiberiti.

Akiendelea kukaa kimia basi ndio ponapona yake ila hafai hata kuwa Barozi wa Nyumba kumi

Nina wasiawasi kama vile unataka kupotosha mambo. Rejea uteuzi wa waziri husika. Hakuna suala la kumbukumbu katika wizara husika katika hatua za mwanzo za uteuzi vinginevyo siri itakuwa inafichuka. Vile vile waziri huteuliwa na rais kwa jina. Naomba utuambie, kama barua anayoandika waziri kuhusu kujiuzulu kwake na kuwekewa kumbukumbu za wizara usiri katika suala hilo uko wapi?

Sidhani kama suala la waziri kujiuzulu ni la kiwizaara zaidi ya suala linalohusu mamlaka ya uteuzi wake ambayo ni ikulu. Ninadhani kama Magufuli kama angeweka kumbukumbu katika barua yake angetumia kumbukumbu za barua yake binafsi.
 
Hiyo ofisi unayofanya kazi haifuati taratibu za Serikali; Barua lazima iwe na Kumbukumbu Na., pia iwekwe kwenye faili (Jalada) husika, Mmiliki wa Majalada yote ya Serikali Wizani ni Katibu Mkuu (Custodian), full stop.

Katibu Mkuu ndie Msemaji Mkuu wa Serikali katika ngazi ya Wizara, pia anaweza kuagizwa na Rais au Katibu Mkuu Kiongozi kutoa ufafanuzi wa jambo lolote kwaniaba ya Serikali, husidhani alijiamulia yeye kutoa ufafanuzi wa Bwana Misifa.

Kama Rais na Katibu Mkuu Kiongozi hawana barua ya kujiuzulu kwa Bwana Misifa, mtu sahihi wanayew kumuuliza ni Katibu Mkuu kama barua ipo kwenye Jalada labda haijafika tu! Kama nae hana katika Jadala ni trick nzuri sana kumwambia Katibu Mkuu ebu kanusha alafu tuone yeye atafanya nini au atasemanini ili 'Tumshughulikie huyo Mpotofu, yaani anataka kusema kwenye list ya ahadi kuna ahadi ya Bomobomo bila kufuata sheria na Taratibu za nchni huku ukiacha watanzania bila makazi?!' Kama akikaa kimia basi tujue anatikisa kiberiti.
Akiendelea kukaa kimia basi ndio ponapona yake ila hafai hata kuwa Barozi wa Nyumba kumi


Hapo penye red- wanaokiuka sheria ni kina nani, Magufuli au walojenga katika hifadhi ya barabara? ma-bush lawyers mnatusumbua hapa Jf huku mki-mislead umma kwa hoja chakavu. Watu tunalia na foleni kwa vile wajinga fulani wamevunja sheria na kujenga kwenye barabara, halafu tukitaka kubomoa makazi mnaanza ooh! haki za binadam. Uchumi unaopotea kwa foleni za barabarani unazidi hivyo vibanda holera vilivyojengwa katika hifadhi ya barabara. Tuseme ukweli tuache kuropka. Kama huna hoja kalale, Magufuli songa mbele na bomoa bomoa, usimsikilize mtu.
 
Nyerere alikuwa makini, hakuwa mtu wa kuendeshwa na wapenda sifa, watanzania walimshangaa katika kuibua viongozi mara zote walipo fikiri kusiki jina la mpenda sifa fulani Mwl aliibuka na jina ambalo hata halijunikani vichwani mwa wengi. Hii ilikuwa hata kwa kada ya Watendaji wakuu kama Mkatibu wakuu, Wakurugenzi, Wakuu wa vyombo vya Dola nk.

Siku hizi watu wanamjua IGP ajae kabla hata Mamlaka ya uteuzi haijaingia madarakani, hivyo hivyo kwa CDF, Mkuu wa UWT, Wakurugenzi nk. unaweza kukutana na mtu akakwambia nasubiria kuwa Mkurugenzi au Katibu mkuu kiongozi soon.

Watu wanasubiri nafasi zao za RC ndio maana utasikia kila siku wanauliza mbona Rais anachelewa kutangaza majina ya RC's wanajulikana, Wanasiasa wametusoma sawasawa wanatujua Watanzania uwezo wetu wa kuchambua na tamaa zetu za kupewa hongo wakati wa Uchaguzi. Kuna mtu anaweza kujua kwanini Mkono kila mara hana mgombea hata wa upinzani? Kwanini wakina MO wanashinda bila shaka huko Singida?, Kama RA hafai na mchafu kwa Umma wa Tanzania kwanini anashinda kwa kishindo huko Igunga pamoja na kelele zote zinazopigwa? Zaidi ya wa 90% ya wapiga debe wa Pombe hawawezi kujibu hayo maswali bila kupindisha.

Katika wimbo wa Taifa tunatakiwa kubadilisha kile kipengere cha "Mungu Ibariki Tanzania" iwe "Mungu Isaidie Tanzania" wananchni wengi wanahitaji kusaidiwa hawajijui hata kidogo.

hapo kwenye red nakukubali, ila ningependa kama ungeendelea kidogo kuchambua makundi ya wananchi wajinga na seheme/eneo walipo (kwa wingi zaidi) ili elimu ielekezwe huko. nina amini kundi la wajinga wengi hawasomi JF NA HATA MAGAZETI NA VYOMBO VINGINE VYAWAFIKIA KWA NADRA. Kumbuka asilimia 80 ya sisi Wa-TZ ni mambumbu na maskini tunaoishi chini ya dola moja kwa siku na hiyo asilimia 80 ipo huku vijijini kwetu, siyo huko mjini kwenu kwenye JF, NA HAO 80% ndiko mafisadi wanakogawa kanga na kofia kupora uongozi. Njia mbadala kama zinazotumiwa na CHADEMA ni muhimu ziendelee kubuniwa na kutumika kufikisha elimu na maarifa hasa kwa sisi wadanganyika wa vijijini.(samahani kwa kutoka nje ya mada kidogo, nia ni kufikisha tu elimu kila unapojitokeza upenyo)
 
Nina wasiawasi kama vile unataka kupotosha mambo. Rejea uteuzi wa waziri husika. Hakuna suala la kumbukumbu katika wizara husika katika hatua za mwanzo za uteuzi vinginevyo siri itakuwa inafichuka. Vile vile waziri huteuliwa na rais kwa jina. Naomba utuambie, kama barua anayoandika waziri kuhusu kujiuzulu kwake na kuwekewa kumbukumbu za wizara usiri katika suala hilo uko wapi?

Sidhani kama suala la waziri kujiuzulu ni la kiwizaara zaidi ya suala linalohusu mamlaka ya uteuzi wake ambayo ni ikulu. Ninadhani kama Magufuli kama angeweka kumbukumbu katika barua yake angetumia kumbukumbu za barua yake binafsi.

Waziri lazima awe na jalada lake binafsi pale wizarani, kama ni mtu smart lazima aweke barua ndani ya Jalada, kama hajui taratibu anaweza kuandika barua inayoelea hewani kama unavyofikiri wewe, barua kama hiyo ningetegemea iwe inaenda kwa mpenzi na siyo barua ya kikazi kama hiyo, kama ulimshauri kufanya hivyo na kafanya hivyo itadhiirisha kuwa hajui zaidi.

Kuhusu Siri inakuwa wapi ikiwa lazima barua iwekwe kwenye jalada; sijui upo Dunia gani? Siri unayomaanisha ni ipi? Kujiuzulu Serikali haimo katika list za Siri za Serikali, pia sijui unadhani watunza siri wa serikali ni watu gani na siri za Serikali zinatunzwa wapi? labda tafuta majibu ya hayo maswali ndio uliize kuwa Waziri akiweka barua katika Majalada ya Serikali Siri itakuwa wapi!? we kama uliajiliwa kwa kuokotwa na Kikwete una bahati. Zamani Afisa yeyote wa Serikali ilikuwa lazima aapishwe kutunza Siri za Serikali. Siri za Serikali zipo hata Ofisi ya Kijiji sembuse Wizarani!

Kuhusu Uteuzi wa Waziri, Sheria inasema Rais atateuwa Baraza la Mawaziri kwa kusaidiana na Waziri Mkuu nakushangaa kwanini unadhani Waziri wakawaida anaweza kuwa parallel na Waziri Mkuu, hata hivyo pia nakushangaa kuwa unadhani kila Waziri anamamlaka yake binafsi ya maamuzi ndani ya serikali! Waziri ni mtu mdogo sana kwa Waziri Mkuu, pia serikali ina mambo yake inayoyapa kipaumbele kuyafanya siyo kila mtu anajitokeza kufanya lake, hata kampuni binafsi haziendeshwi hivyo kama unayo yako jaribu kufanya hivyo uone.

Kingine husije kujibu hoja hapa kwa kudhani, kama hujui lolote kama unavyoonyesha unaweza kusoma threads na kugonga then unaeda kulala.
 
Hapo penye red- wanaokiuka sheria ni kina nani, Magufuli au walojenga katika hifadhi ya barabara? ma-bush lawyers mnatusumbua hapa Jf huku mki-mislead umma kwa hoja chakavu. Watu tunalia na foleni kwa vile wajinga fulani wamevunja sheria na kujenga kwenye barabara, halafu tukitaka kubomoa makazi mnaanza ooh! haki za binadam. Uchumi unaopotea kwa foleni za barabarani unazidi hivyo vibanda holera vilivyojengwa katika hifadhi ya barabara. Tuseme ukweli tuache kuropka. Kama huna hoja kalale, Magufuli songa mbele na bomoa bomoa, usimsikilize mtu.

Husiite Watanzania waliojenga katika ardhi yao kuwa Wajinga, wewe unaweza kuwa mjinga mara dufu kuliko unavyofikiria; ujuekuwa kuwa kuna watu wana-hati za kumiliki ardhi pale! Pia ujue hakuna maendeleo yanakuja na kukubalika kama yanapatikana kwa kuumiza binadamu wengine iwe binadamu wa leo hata wa kesho hiyo ndio maana ya Maendeleo kwa mtu msomi, ndio maana tunapiga vita biashara ya madawa ya kulevya na biashara zingine kama hizo, tunajua kuwa ukiuuza sawa utapata maendeleo lakini kuna kundi lina dhoofika kutoka na maendeleo yenu wauza madawa ya kulevya.

Pia ujue kuwa hizo nyumba zinazobomolewa hazina uhusianao wowote na foleni za Dar es Salaam, kubomo hizo nyumba ni kitu kingine kabisa na foleni kitu kingine tofauti kabisa, kama elimu yako ndio inakutuma hivyo rudi shuleni kasome upya. Hili swala ni la kitaalam zaidi ya unavyofikia kwa hoja hafifu kama mlevi wa gongo iliyotengenezwa kwa kinyesi; pia husidhani Magufuri ana Serikali yake ndani ya Serikali iliyopo Madarani hivyo anaweza kufanya ujinga wowote anaofikirika hata kama katumwa na Mkewe?! Kama hudhani hivyo mbona hutaki kiongozi wake kazi ampe maelekezo staili ambayo ndio matakwa ya serikali husika!

Unapenda majibu mepesi ndio maana unaona kubomoa nyumba za watu ni kazi rahisi kiasi hicho, Kama akili yako ingelikuwa inajituma kufikiri kabla ya kutaka kujibu hilo swali ungeweka assumption rahisi na ya kawaida kujibu iwapo serikali inajua hao watu wataenda wapi baada ya huo upuuzi wa kubomoa nyumba zao, pia unge tafuta kujua wakati wanajenga serikali ilikuwa likizo wapi? ebu kajenge Magogoni ikulu kama unadhani kuvamia viwanja ni kazi rahisi! au Jenga katikati ya barabara ya Morogoro Road kama unadhani walivamia Right of Way? weka akili yako sawasawa na tafuta taarifa sahihi.

Kazi ya serikali ni pamoja kusimamia haki na ustawi wa Wananchni wake, nyumba ni hatua muhimu katika ustawi wa kaya, serikali ina haki ya kuchukuwa kipande chochote cha ardhi kwa ajili ya matumizi ya Umma lakini wamiliki waliokutwa lazima wapate fidia staili na wajue wanapoenda kabla ya kuondolewa na hawapaswi kuondolewa kimabavu hiyo ndio maana ya serikali ya Kidemokrasia. Kama unadhani Magufuri yupo sahihi utakuwa unadhani hivyo kwasababu wewe siyo muathirika (wewe ni Mbinafsi zaidi), lakini ujue kuwa nyumba ndio inaweza kuvamiwa siyo Ardhi, Ardhi watu wamejenga serikali ikiwa wapi?

Sifa ni nzuri, ila kama unataka sifa hata kama unaumiza wengine hizo ni sifa za kijinga kila Mtanzania anahitaji kupewa haki yake na serikali.
 
hapo kwenye red nakukubali, ila ningependa kama ungeendelea kidogo kuchambua makundi ya wananchi wajinga na seheme/eneo walipo (kwa wingi zaidi) ili elimu ielekezwe huko. nina amini kundi la wajinga wengi hawasomi JF NA HATA MAGAZETI NA VYOMBO VINGINE VYAWAFIKIA KWA NADRA. Kumbuka asilimia 80 ya sisi Wa-TZ ni mambumbu na maskini tunaoishi chini ya dola moja kwa siku na hiyo asilimia 80 ipo huku vijijini kwetu, siyo huko mjini kwenu kwenye JF, NA HAO 80% ndiko mafisadi wanakogawa kanga na kofia kupora uongozi. Njia mbadala kama zinazotumiwa na CHADEMA ni muhimu ziendelee kubuniwa na kutumika kufikisha elimu na maarifa hasa kwa sisi wadanganyika wa vijijini.(samahani kwa kutoka nje ya mada kidogo, nia ni kufikisha tu elimu kila unapojitokeza upenyo)

Nimekubali sana; nimefurahi elimu uliyotowa, ila Jaribu sasa kuangaza kwa kina mipaka kati ya Vijiji na Mijini ipo wapi? na kama hiyo mipaka ni kama ule Ukuta wa Berlin enzi hizo! Pia angaza iwapo sikweli kuwa mjinga ni mjinga tu hata kama akienda shule! Pia jiulize kama kila aliyekwenda shule anaelimika, husisahau kujiuliza kama hawapo walikosa nafasi ya kwenda shule ambao wanauwezo wa kiakili kuliko waliopata nafasi ya kwenda shule.

Kuhusu waliopata nafasi ya kwenda shule lakini kunawasiwasi kama wameelimika na hoja ya kuwa mjinga ni mjinga tu hata kama akienda shule tumia mfano wa Prof. Mkandala wa UDSM katika kunyambua mada.
 
Heshima kwako Mathias Byabato.

Ingawa jina lako la mwisho linatumiwa na watu wa Kagera lakini nina wasiwasi wewe utakuwa mpare.Unashindwa kuandika kujiuzulu je kuongea itakuwaje ?.


Nawe pia umekosea kiswahili sio lugha yenu?? au..?

Ni kujiuzuru...tizama kamusi...
 
Back
Top Bottom