Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Mwenye akili kichwani akimshauri asyeshaurika matokeo yanakuwaje?Mama Samia Suluhu hamshauri mwenzie katika masuala ya nchi???
Angalau yeye ana akili kichwani angemuongoza huyo mvurugaji
Mwenye akili kichwani akimshauri asyeshaurika matokeo yanakuwaje?Mama Samia Suluhu hamshauri mwenzie katika masuala ya nchi???
Angalau yeye ana akili kichwani angemuongoza huyo mvurugaji
Kampuni ya ujenzi ya Konoike ya Japan imeiomba mahakama ya Washington DC, Marekani kuziwekea ‘defaults’ taasisi kadhaa za serikali ya Tanzania kutokana na kupuuzwa kwa hukumu ya malipo ya dola milioni 60 kwa kampuni hiyo, lakini serikali ya Tanzania imekuwa haitokei mahakamani.
Kampuni hiyo imeeleza kuwa iliwasiliana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania Oktoba mwaka jana, na wanasheria wa Wizara hiyo walikiri kufahamu kuhusu kutakiwa kulipwa fedha hizo lakini wakaamua kupuuza.
Konoike imeeleza kuwa serikali ya Tanzania ililipa dola 11.3 mwezi uliopita kufuatia ushauri wa kisheria uliotolewa jijini London, Uingereza, lakini kiasi hicho kilikuwa kidogo mno kulinganisha na kiwango halisi kinachopaswa kulipwa pamoja na riba, yaani dola milioni 65 tangu hukumu ilipotolewa Februari mwaka jana.
Katika hukumu hiyo, Wakala wa Barabara (TANROADS), Wizara ya Ujenzi, na taasisi nyingine za serikali ziliingia mkataba na kampuni nyingine kumalizia ujenzi wa barabara ya maili 79 baada ya Konoike kutoa notisi ya kuvunja mkataba.
Serikali ya Tanzania inadai kuwa malipo hayo ya dola milioni 11.3 ndio ya mwisho baada ya kukata kodi iliyokuwa ikidaiwa tangu mwaka 2016. Konoike inasema dai hilo si halali wala la kweli.
Chanzo: Evirist Chahali
Ungejiuliza gharama zilizotumika kuinunua hiyo Bombadia ungetoa machozi kama una akili.Leo mtaleta sana vihabari uchwara lakini ndege iko njiani inakuja TZ poleni sana najua inawauma sana!!
Mkuu, asante kwa ku-share but next time fanya kutoa credit to source “Tanzania Ya Magufuli: Serikali Yakacha Kutokea Mahakamani, Yadaiwa Dola Mil 60” @ChahaliKampuni ya ujenzi ya Konoike ya Japan imeiomba mahakama ya Washington DC, Marekani kuziwekea ‘defaults’ taasisi kadhaa za serikali ya Tanzania kutokana na kupuuzwa kwa hukumu ya malipo ya dola milioni 60 kwa kampuni hiyo, lakini serikali ya Tanzania imekuwa haitokei mahakamani.
Kampuni hiyo imeeleza kuwa iliwasiliana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania Oktoba mwaka jana, na wanasheria wa Wizara hiyo walikiri kufahamu kuhusu kutakiwa kulipwa fedha hizo lakini wakaamua kupuuza.
Konoike imeeleza kuwa serikali ya Tanzania ililipa dola 11.3 mwezi uliopita kufuatia ushauri wa kisheria uliotolewa jijini London, Uingereza, lakini kiasi hicho kilikuwa kidogo mno kulinganisha na kiwango halisi kinachopaswa kulipwa pamoja na riba, yaani dola milioni 65 tangu hukumu ilipotolewa Februari mwaka jana.
Katika hukumu hiyo, Wakala wa Barabara (TANROADS), Wizara ya Ujenzi, na taasisi nyingine za serikali ziliingia mkataba na kampuni nyingine kumalizia ujenzi wa barabara ya maili 79 baada ya Konoike kutoa notisi ya kuvunja mkataba.
Serikali ya Tanzania inadai kuwa malipo hayo ya dola milioni 11.3 ndio ya mwisho baada ya kukata kodi iliyokuwa ikidaiwa tangu mwaka 2016. Konoike inasema dai hilo si halali wala la kweli.
Dawa ya deni ni kulipa. Kwahyo unataka tuwadhurumuSASA HAPA MNCHOSHABIKIA NI NINI?......Haya ndio kikundi cha kigaidi CHADEMA mnayoyafanya sasa kushikiza baadhi ya wadai wetu wafukue makabuli
Asante MKUUUngejiuliza gharama zilizotumika kuinunua hiyo Bombadia ungetoa machozi kama una akili.
Bei ya kununulia + gharama za kulipa deni + riba ya deni = Boeing 787 not Bombadier. Sasa jee huo sio ufala kujisifu kama mazuzu?
WATAISHIAKUTUKANA TU NA KUHAMISHA MAGOLINawasubiri walamba makalio na nyayo za jiwe kweli kweli nione wanatoa maoni gani kuhusu hili
HATUONGELEI SIASA ZA VYAMA HAPA, tunaangalia wasaliti wa kodi zetu tunazotoa kwa JASHO letuSASA HAPA MNCHOSHABIKIA NI NINI?......Haya ndio kikundi cha kigaidi CHADEMA mnayoyafanya sasa kushikiza baadhi ya wadai wetu wafukue makabuli
Chahali nivichok itakuhusu
Halafu acha tabia za kike kuiga iga ,unaona mange anapaaaata ..haya soon utampiku kwa followers jitahidi
Konoike si ni kampuni ya Japan ambao ni wadau wetu wa maendeleo katika ujenzi wa miundombinu?
Hahahaaaaaaaaa!SASA HAPA MNCHOSHABIKIA NI NINI?......Haya ndio kikundi cha kigaidi CHADEMA mnayoyafanya sasa kushikiza baadhi ya wadai wetu wafukue makabuli
Watamkamata ma...m aakoWakamate ile Dream liner au hiyo bombadia kabla haijatua bongo! si wamesema iko njiani.....