Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,793
- 33,159
Wanaiita njia mbadala...
Wakumbuke kiwa huu uzoefu waouzungumzia ni ule wa level husika tu(Kama ni CO, utabaki uzoefu huo tu na hautaweza kuwa MD hata kama uwe na uzoefu wa muda gani), kwa mantiki hiyo huwezi kuwa bingwa maana haujasoma zaidi ya level hiyo...
Madaktari bingwa wanasotea taalamu zaidi ya walizonazo za wali, na wanasoma kwa deep sana(wana specialize), ila leo hii anatokea mtu anasema jambo liwe hivi bila kuangalia undani wake, mwishowe athari ya maamuzi hayo yatakuwa hadi kwa kiasi kikubwa.
Siasa isiingizwe kwenye masuala nyeti ya kitaaluma/kitaalamu kama suala la Afya.
Wamevuruga elimu ya Tanzania kwa kupeleka failures kusomea ualimu sasa leo wanahamia kwa madaktari sijui kesho itakuwa kwa uhasibu na uhandisi!!!