hadidurejea
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 262
- 380
Kwa nini niende kufanya Mmed nije kulipwa TGHS G ya 2.1M wakati nikikaa na hiyo hiyo MD na kukomaa na NGOs za HIV wananitoa 3.5M na marupurupu kibao?
Kwa nini nifanye Mmed then niende katavi kulipwa 2.1M ( na yenyewe baada ya kusubiri 3 years since nimalize shule ndio wanaongeza na ambazo wamekupunja for those years hawarefund) badala ya kubaki Muhimbili ambapo walau ni 3.5 M na wanabadili Haraka + vijiwe vya kumwaga?.
Kwa nini nifanye Mmed 3/ 4 years kwa mateso bila udhamini wa maana/ kama uko na wa government unacheleweshwa malipo balaaa badala ya MPH mwaka mmoja then nirudi kazini kuipata vyeo vya uDMO na uRMO na ukurugenzi mbali mbali wizarani?.
Kwa nini hospital za Mission za pembezoni na mashirika mengine huko vijijini wana mabingwa wa kutosha ila hospital za mikoa hazina?.
Kwa nini ni rahisi Dr. Bingwa wa Serikali anakubali kushikizwa hospital za Mission za vijijini ila anakataa za serikali za mikoani?.
Wazoefu kwenye nini? Wamekaa department husika muda gani? Wakiwa wanafanya nini? Wakisimamiwa na nani?.
Kwamba wizara imeona wanaoenda kufanya Mmed baada ya uzoefu wa muda mrefu wanafaulu sana?.
Tujaze idadi kumfurahisha nani?. TCU wamelikubali hili?.
Nilifikiri wanaleta mitihani ya kumantain certificate za kupractice sio huu ujinga wanaopendekeza.
Aliyetoa wazo hilo ni muhujumu uchumi - kupitia kuvuruga afya zetu. Achunguzwe.
Kwa nini nifanye Mmed then niende katavi kulipwa 2.1M ( na yenyewe baada ya kusubiri 3 years since nimalize shule ndio wanaongeza na ambazo wamekupunja for those years hawarefund) badala ya kubaki Muhimbili ambapo walau ni 3.5 M na wanabadili Haraka + vijiwe vya kumwaga?.
Kwa nini nifanye Mmed 3/ 4 years kwa mateso bila udhamini wa maana/ kama uko na wa government unacheleweshwa malipo balaaa badala ya MPH mwaka mmoja then nirudi kazini kuipata vyeo vya uDMO na uRMO na ukurugenzi mbali mbali wizarani?.
Kwa nini hospital za Mission za pembezoni na mashirika mengine huko vijijini wana mabingwa wa kutosha ila hospital za mikoa hazina?.
Kwa nini ni rahisi Dr. Bingwa wa Serikali anakubali kushikizwa hospital za Mission za vijijini ila anakataa za serikali za mikoani?.
Wazoefu kwenye nini? Wamekaa department husika muda gani? Wakiwa wanafanya nini? Wakisimamiwa na nani?.
Kwamba wizara imeona wanaoenda kufanya Mmed baada ya uzoefu wa muda mrefu wanafaulu sana?.
Tujaze idadi kumfurahisha nani?. TCU wamelikubali hili?.
Nilifikiri wanaleta mitihani ya kumantain certificate za kupractice sio huu ujinga wanaopendekeza.
Aliyetoa wazo hilo ni muhujumu uchumi - kupitia kuvuruga afya zetu. Achunguzwe.