hata mimi nimesikia.Kichekesho ni kwamba madaktari wanaofanya kazi huko hospitali binafsi ni wale wale kutoka muhimbili,temeke,amana.
Huku Rukwa hatuna hospitali binafsi jamani, tutatibiwa wapi?
Serikali imeingia mkataba maalumna hospital binafsi kuokoa jahazi la mgomo wa madaktari katika hospitali za umma.