Serikali yailipa PSSSF tsh Trillion 2 kati ya Trilion 4, wastaafu kulipwa mafao yao kwa wakati!

Heb nipe uhusiano wa katiba na Halmaahauri au shirika la serikali kuwasilisha michango ya wafanyakazi wake...
Katiba kama sheria MAMA itaainisha haki na wajibu wa kila mtumishi wa umma kuanzia Rais,makamu wake,waziri mkuu,Spika,Jaji na watumishi wengine wanaofuatia katika Serikali kuu na halmashauri.Sheria HUSIKA(zitakazotungwa kutokana na au kwa maelekezo ya katiba)ndio zitamwajibisha mkuu wa taasisi (yaweza kuwa ya Serikali kuu au Halmashauri) ambaye hatawasilisha michango ya mtumishi wake kwa wakati au kutoiwasilisha kabisa.Sheria ikibana hivyo na uwepo wa ufuatiliaji wa DHATI toka mamlaka za juu hakika UWAJIBIKAJI ni lazima utakuwepo kwa kila taasisi za umma na Serikali nzima.
 
Katiba kama sheria MAMA itaainisha haki na wajibu wa kila mtumishi wa umma kuanzia Rais,makamu wake,waziri mkuu,Spika,Jaji na watumishi wengine wanaofuatia katika Serikali kuu na halmashauri.Sheria HUSIKA(zitakazotungwa kutokana na au kwa maelekezo ya katiba)ndio zitamwajibisha mkuu wa taasisi (yaweza kuwa ya Serikali kuu au Halmashauri) ambaye hatawasilisha michango ya mtumishi wake kwa wakati au kutoiwasilisha kabisa.Sheria ikibana hivyo na uwepo wa ufuatiliaji wa DHATI toka mamlaka za juu hakika UWAJIBIKAJI ni lazima utakuwepo kwa kila taasisi za umma na Serikali nzima.
Haya unayoyazungumzia hayawezi kua ktk katiba, yatakua ktk sheria...
 
Watu wanachuki tu na mwendazake, huskii wakilaumu Mkapa aliewahamisha wastaafu kutoka hazina kwenda PSSF bila kupeleka michango yao...PSSF ilikua hoi bini taabani bin kukata roho in term of liqudilty, Benefit formula ya kifisadi(watu walikua wanapokea mafao manono while wamechangia kidogo) & ufisadi ktk miradi(yale ma ghorofa yao posta watu wamepiga hela za kutosha)
wasingeunganisha ile mifuko ule mfuko ungekua umesha collapse...na ule ndo ulikua na wafanyakazi wengi wa serikali.
Nway wanasema alieshikwa na nyama ndo mwizi ht km wezi walipita wakakuachia tu uwashikie nyama yao.
Fao la Kujitoa? Huo ni unyama na ushetani.....
 
Ni jambo jema, maana Jiwe alikwangua hela zote za wastaafu akazipeleka anapojua yeye, yule jamaa angepiga miaka mingine 5 hadi 2025 TZ tungekuwa kama Afghanistan
Hizo pesa miaka yote CCM huzitumia kwenye kampeni zao za uchaguzi mkuu, tatizo sio Magufuli, ni uwepo wa hicho chama.
 
Ht ezi za JPM walitoa ma tirioni km haya.
Watatoa leo then miaka michache mbele tatzo litajirudia, maana watu hawasilishi michango ya wafanyakazi...couple of month ago kamati ya bunge iligundua halmashauri ya Shinyanga inadaiwa bilioni 40+ za michango ya wanachama. Na hilo ni halmashauri moja tu...unless waweke sheria inayowabana kuwasilisha michango ya wanachama hii kitu hitakuja kuisha...itakua ni game a cat and mouse.

Zile sheria na adhabu zilizopo kwa wasiowasilisha michango kwa wakati zitumike
Kama zina mapungufu zipitiwe na kukaziwa zaidi
 
Ht ezi za JPM walitoa ma tirioni km haya.
Watatoa leo then miaka michache mbele tatzo litajirudia, maana watu hawasilishi michango ya wafanyakazi...couple of month ago kamati ya bunge iligundua halmashauri ya Shinyanga inadaiwa bilioni 40+ za michango ya wanachama. Na hilo ni halmashauri moja tu...unless waweke sheria inayowabana kuwasilisha michango ya wanachama hii kitu hitakuja kuisha...itakua ni game a cat and mouse.
Halafu hao wahusika bado wapo ofisini!!!???
 
Ni jambo jema, maana Jiwe alikwangua hela zote za wastaafu akazipeleka anapojua yeye, yule jamaa angepiga miaka mingine 5 hadi 2025 TZ tungekuwa kama Afghanistan
Acheni kumsingizia jiwe kwa kuwa kafa hawezi kujibu huzi tuhuma hela hizi zilijenga Udom daraja la kigamboni na wanasiasa kibao walikopa na hawajarudisha hadi leo jiwe alipoingia akakuta wameazisha sheria ya kikotooo ili waaze kulipa wastaafu kama mshahara kidogokudogo ndipo JPM aligoma na kumfukuza mkurugenzi yule dada
 
Imeipa au imerejesha??
Hata mimi cjawaelewa.
Walitakiwa washitakiwe ili zirejeshwe na riba.
Walichukua hela si zao halafu walisema tunajenga nchi kwa uchumi wa ndani.
Walitakiwa waanze kuwalipa wastaafu bila mbwembwe za Serikali imewapa.
Mbona hawakusema serikali imechukua hela za wastaafu.
 
Trillion 2 kama ni kwa kuwalipa wastaafu ni ndogo sana

Ila kama ni mpango endelevu kila baada ya muda mfupi watoe tena itasaidia
Trilion 2 ni sehemu tu ya deni, na hailipwi kwa mkupuo mmoja,, hiyo hela haipo,, labda tuamue kuchapisha zingine,, nilivyoelewa malipo ni 120 bilions per year.
Ila trilion 2 ni pesa ndefu sana , inaweza kulipa wastaafu wote wa africa mashariki na kati
 
Trilion 2 ni sehemu tu ya deni, na hailipwi kwa mkupuo mmoja,, hiyo hela haipo,, labda tuamue kuchapisha zingine,, nilivyoelewa malipo ni 120 bilions per year.
Ila trilion 2 ni pesa ndefu sana , inaweza kulipa wastaafu wote wa africa mashariki na kati

Trillion2 sio pesa kidogo lakini pia sio pesa nyingi pia kutokana na kile kinachopangwa kugharamiwa nayo

Hiyo pesa inaweza tosha mshahara wa mwezi mmoja tuu kwa watumishi wa umma

Hiyo pesa inaweza lipa pension kwa wastani wa wastaafu elfu10 wenye wastani wa madai ya mafao ya tzs milioni100

Sasa swala linakuja wastaafu wangapi wanadai mafao? Na ni wastani watumishi wangapi wanastaafu utumishi wa umma kila mwezi? Waweke mpango sawa KAZI IENDELEE
 
Siwezi kuamini kama Serikali ya Tanzania inaweza kutoa hela yote iyo kwa mkupuo! Mradi wa Rufiji tu pale unawatoa jasho sembuse kutoa hiyo 2 Trillion!
Sio kwa mkupuo mmoja,, hiyo hela cash haipo hata hazina,,
 
Hata mimi cjawaelewa.
Walitakiwa washitakiwe ili zirejeshwe na riba.
Walichukua hela si zao halafu walisema tunajenga nchi kwa uchumi wa ndani.
Walitakiwa waanze kuwalipa wastaafu bila mbwembwe za Serikali imewapa.
Mbona hawakusema serikali imechukua hela za wastaafu.
Ni kawaida serikali duniani kukopa toka social security fund,,, sio kosa la jinai
 
Trillion2 sio pesa kidogo lakini pia sio pesa nyingi pia kutokana na kile kinachopangwa kugharamiwa nayo

Hiyo pesa inaweza tosha mshahara wa mwezi mmoja tuu kwa watumishi wa umma

Hiyo pesa inaweza lipa pension kwa wastani wa wastaafu elfu10 wenye wastani wa madai ya mafao ya tzs milioni100

Sasa swala linakuja wastaafu wangapi wanadai mafao? Na ni wastani watumishi wangapi wanastaafu utumishi wa umma kila mwezi?
Hivi wastaafu kwa kila mwezi wanazidi 500 kweli?, Maana hizi nafasi za kisiasa watu wanafanya kazi hadi miaka 70,huku serikalini katika wilaya nzima unakuta kwa mwezi wamestaafu watu kumi tu,,
Kiufupi hata kwa mwaka kufika 10,000 ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom