tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,804
- 18,231
Kweli kabisa mkuu. Jiwe alichukua fedha zote akaenda kujenga uwanja wa ndege, hospitali ya rufaa, veta, na mbuga ya wanyama huko Chato huku akiwaacha wastaafu wakifa njaa. Mungu anamuona huko aliko.Ni jambo jema, maana Jiwe alikwangua hela zote za wastaafu akazipeleka anapojua yeye, yule jamaa angepiga miaka mingine 5 hadi 2025 TZ tungekuwa kama Afghanistan