R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Serikali imepata haueni baada ya Vyuo vikuu ; kuhihakikishia serikali mwishoni mwa mwezi huu itaondokana na tatizo la madktari wa INTERNSHIP 400 Waliogoma;
Vyou hivyo ni
muhimbili
st john
Bugando
Immtu
Kahiruki n.k
Vyuo hivyo vimejinasibu vitaingiza madaktari hao 700; kuziba 400 walioacha kuhudumia hospitali zetu;
Mwajili wa waliogoma KATIBU MWANJIRI; Kakataa kuwapokea na kuwaeleza kuonana na Medical council.
Ambaye kwa sheria anatakiwa kuwafutia leseni za udaktari waliokuwa wameusomea kwa miaka 5++
Ugumu wa internship wakifutiwa leseni awatatambulika km madktari maishani.
na fedha za bodi ya mikopo 20 millioni watatakiwa kulipa
Ni vigumu kuomba chuo kikuu kwa kutumia jina waliokuwa wakitumia bse of computerizide system tracking.
KARIBUNI MTAANI MPAMBANE NA SISI UNEMPLOYED
ACC
SOCIOLOGY
SHERIA
N.K
Unemployed Benefit
Vyou hivyo ni
muhimbili
st john
Bugando
Immtu
Kahiruki n.k
Vyuo hivyo vimejinasibu vitaingiza madaktari hao 700; kuziba 400 walioacha kuhudumia hospitali zetu;
Mwajili wa waliogoma KATIBU MWANJIRI; Kakataa kuwapokea na kuwaeleza kuonana na Medical council.
Ambaye kwa sheria anatakiwa kuwafutia leseni za udaktari waliokuwa wameusomea kwa miaka 5++
Ugumu wa internship wakifutiwa leseni awatatambulika km madktari maishani.
na fedha za bodi ya mikopo 20 millioni watatakiwa kulipa
Ni vigumu kuomba chuo kikuu kwa kutumia jina waliokuwa wakitumia bse of computerizide system tracking.
KARIBUNI MTAANI MPAMBANE NA SISI UNEMPLOYED
ACC
SOCIOLOGY
SHERIA
N.K
Unemployed Benefit