EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Akizungumzia waraka uliosambazwa wa kumpa Rais Jakaya Kikwete siku 100 awe ameachia madaraka, waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha amesema wanaufanyia kazi ili kuwabaini waliohusika kuuandaa, kwa kuwa unaashiria uvunjifu wa amani.
Kauli kama hizi ni jambo ambalo halikubaliki na tunaendelea kulifanyia kazi na kukusanya taarifa za siri ili tuweze kuwabaini wahusika na kuwachukulia hatua za kisheria alisema.
::HabariLeo::
Kauli kama hizi ni jambo ambalo halikubaliki na tunaendelea kulifanyia kazi na kukusanya taarifa za siri ili tuweze kuwabaini wahusika na kuwachukulia hatua za kisheria alisema.
::HabariLeo::