Serikali yagoma kuwepo kwa uchunguzi huru juu ya Tundu Lissu, wadai kwani kibiti walikuja wazungu?

Km King of Lumumba hajahusika, kwanini zile Namba za gari alizozisema TL zimekua blocked kwenye system za TRA?!
Tuanzie hapo kwanza...


MWISHO: Tukumbuke tukio la Nape kulikua na baadhi ya gari ambazo zilipofatiliwa TRA zilionekana mmiliki ni Ikulu sina Shaka na kwa zile namba za gari zilizoblokiwa nazo zinatoka mahali pamoja.
Gari iliyokuwa ikimfuatilia Lisu ni mali ya Maliyamungu amekula njama wakafuta kila kitu.
 
huyu ni msemaji Wa serikali kweli?, amerogwa au albadir inafanya kazi? namna wanavyojitetea ndio wanazidi kujivua nguo. ni bora wangenyamaza tu. hawa watu kweli washamba. ni dhahiri wanahusika.
Huyo msemaji anajikanyaga kanyaga yaani wanachokifanya ni Aibu kubwa mifano anayotoa haina mashiko
 
Naanza kuamini maneno ya Zitto Kuna Mambumbumbu wengi wanatuongoza... Atizame Uhuru upo au haupo... Mahakamani penyewe ukisema sina imani na Hakimu unabadilishiwa... jamaa kenge kweli
Hutuna imani na huyo msemaji na yy afukuzwe kazi kabsa hafai kuwa msemaji anatia Aibu
 
Hahahaaa. Basi ngoja nikupe jipya...... Spika wa bunge ndio anajua kila kitu, maana alitaja idadi ya risasi na aina ya silaha iliyotumika kumshambulia Lissu. Huyu ni mtu stadi sana ma mjuzi wa mambo ya uchunguzi, mfuateni awasaidie kupeleleza. Hakika mtampata muuaji.
Wakija FBI watachukua siku mbili kutoa jawabu na mtuhumiwa namba moja Maliyamungu Bashite atadakwa haraka
 
Mharifu hawezi kubali aletewe mtu wa kumchunguza.
Wananchi tunajua muuaji ni yule CHATLE BOY aliyepanga pale Magogoni(The hit man).
Maliyamungu Bashite ndiyo anajua movie yote maana alikuwa ndani ya Nissan nyeupe
 
FBI wakija wakaanza kumhoji Lipumba napo watabaini mengi kwani moja ya wasuka njama ni Lipumba Profeselii mjinga mjinga mwenye Roho mbaya mpenda ushirikina kuliko wasomi wote barani Africa
 
Kibiti ndo Bench Mark yao. Wanazania Lisu ni wa kawaida. Ina maana leo hata Kiongozi mkubwa wa nchi anaweza uwawa wakasema mbona kibiti wameuwawa wengi tu?
Kwa mungu wote sawa hakuna wa kawaida wala asiekua wa kawaida
 
Tanzania ni nchi huru ,. Period.

Huo ujinga wa kuleta mtu kuja kukagua mji na familia yetu ni ujuha wa kiwango cha lami na hautakubalika.

Jo Cox , mbuge wa labour party na mwanaharakati wa haki za binadamu; kauawa mwezi June 2016 pale UK mbona Tanzania haijutuma watu kuchunguza mauaji hayo UK!?
Mbona, USA askari wao wamewapiga black American risasi hatujapeleka wachunguzi kwao!?

Princess Diana, mbona uchunguzi hadi leo hakuna !?
Vifo vya marais wa USA, majibu yako wapi, mfano JF Kennedy , ilikuwa mida sawa na Lisu!?

Acheni porojo, na hao wazungu koko wenu.

Wazungu koko awa hawa walio muua Gaddafi ili wachukue mafuta na samaki kutoka Libya ?

Wazungu pori Waliomua Saddam Hussein wa Iraq ili wachukue mafuta!?

Wazungu Koko izi hizi , zilizomua Hugo Cheves wa Venezuela!?

Koko hawa waliotaka kumuua Fidel Castro rais wa Cuba zaidi ya mara 1000+ na kuivamia Cuba mara 100+!?

Hawa koko wanaotaka kumuua Maduro wa Venezuela kwa ajili ya mafuta !?

Hawa wazungu koko waliotaka kumpindua na kumuua Nyerere zaidi ya 8!?

Koko awa hawa wanaotaka kumuua Kim Jong-Un wa NKorea , wakati wao wana silaha za nukes, atomic , hydrogen, biology, genetally mass destruction weapons !??

Wazungu koko hawa waliomua Patrice Lumumba wa DR Congo ili wajichotee mali za DR Congo tangia hapo hadi leo hakuna amani Congo!?

Hawa wazungu koko, walioiwekea vikwazo Zimbabwe na rais Mugabe ili wachukue ardhi ya wazimbabwe!?

CDM acheni ropo yenu. Wazungu koko, wameshindwa kutoa majibu ya mauji mengi nyumbani kwao na mengine waliyoyafanya huku Africa leo hii ndiyo tuwaamini!?

Kama Hamna imani na vyombo vya dola vya serikali na serikali yenyewe ya Tanzania basi hamieni Kenya au uko huko kwa wazungu koko mnaowaamini.

Ila CDM mnakotaka kuipeleka Tanzania, hatutawarusu na hamtapenya.
Unajua unachokitetea hasa Bashite na Baba yake
 
Mijitu ya hili lichama hainaga akili, cjui inawaza kwa kutumia nn, watu walipiga kelele kuhusu kibiti, lisu mwenyewe aliomba Mara kibao swala la kibiti lijadiliwe bungen km jambo la dharura ilia yenyewe ikakataa nakuendelea na shighuli zao, Leo ndo yanajifanya yanawajali watu wa kibiti....son of bitch.....stupid idiots,
 
Ni kwa uchunguzi upi au kwa kidhibiti kipi unavituhumu vyombo vya ndani?

Sasa vidhibiti vitapatikana baada ya serikali yako kukubali vyombo vya nje vije kufanya uchunguzi wake.

Kwasasa mazingira ya tukio zima kuanzia kwa askari walioko getini hadi kitendo cha jeshi la polisi kufika eneo la tukio 2 hours later, wahalifu kusafishiwa njia gari yao isikae kwenye foleni nk ni sababu tosha ya kutilia shaka vyombo vya ndani.
 
Kwani uchunguzi wa ndani so far umefikia wapi? Sio kwamba umeshindwa? Sasa kwa nini uchunguzi wa nje usiletwe?

Kwani umeshafanywa??Leo week ya pili wale walinzi hawajaitwa wala kuweka Lockup kwa sababu ilikuwaje gari lifanye uhalifu halafu liondoke??

Unaenda kwenye tukio masaa zaidi ya mawili mpaka aliyejeruhiwa anafanyiwa operation ya kwanza wanamaliza wewe bado hajafika kwenye tukio.

Duh!Halafu unasema tunatafuta mtuhumiwa ndugu yangu bora waache tu ni aibu hata kusema.

Waache waseme wameshindwa kama la Ben SAA nane.
 
Yaani Kibiti ndio reference ya ccm na serikali yake! Ivi wa kibiti waliwajuaje na hawa wasiojulikana wa Lissu imekuwa ngumu kujulikana. Kumbuka wa Kibiti walikuwa wanafanya kazi usiku wa giza hawa wa mchana kweupe bado hawajulikani
Hivi motive behind kibiti ilikuwa nini?, naona bado mzizi haujachimbwa?!
 
Baada ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kusikika wakidai vyombo vya usalama kutoka nje ya nchi vije kufanya uchunguzi wa shambulio la MbungeTundu Lissu, Msemaji mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbaas amefunguka na kuhoji




Dkt%20abbasi.jpg

watu wangapi wamekufa na wazungu hawakuja.

Kupitia ukurasa wake wa twitter Dkt. Abbas amehoji kwa kuandika "Waje wazungu? Wamekufa watu wangapi Kibiti hatukuita wazungu?Lakini hatujui pia hata hao wazungu kwao makosa ya jinai pia yamewazidi nguvu?

Hata hivyo Dkt Abbas ameongeza kwamba tabia ya kutuhumiana kunapotokea kosa la jinai ambalo limetendwa kwa mtu yoyote au mwanasiasa siyo vizuri kwani kufanya hivyo kunakufanya uwe mshukiwa namba moja wa tukio.

Ameongeza kwamba kwamba ni "busara vyombo vya dola vikaachwa vifanye kazi yake kwanza na siyo kutuhumu".

Chama cha Demokrasia na Maendeleo kupitia viongozi wake wamekuwa wakitaka serikali iruhusu vyombo vya kimataifa waje nchini kufanya uchunguzi juu ya shambulio la Tundu Lissu aliyepigwa risasi na waru wasiojulikana Septemba 7 akiwa nje ya nyumba yake Area D' Dodoma alipokuwa akitokea bungeni mchana.

msemaji%20wa%20serikali....._0.JPG
Sio issue ya kujibia kwenye writer, unproffesional au atwambie ni kifungu gani kinaruhusu utoaji taarifa kwa kupitia twiter?!
 
Vyombo huru vitaanza na walinzi wa getini, wataulizia jinsi procedure zilivyo kwa walinzi na shifti zake watapata tu waliopewa maelekezo ya ninj kifanyike siku ya tukio...
 
Back
Top Bottom