Serikali yagoma kuwalipa mishahara waajiriwa wapya wa mahakama ya Tanzania

Serikali iliwaajiri watumishi wapya wa mahakama mwaka jana baada ya mda iliwasimamisha kazi wamekaa mwaka mmoja nyumbani wamekuja kuitwa mwezi wa saba mwaka huu kurudi kazini cha lush an chakushangaza serikali imegoma kuwapa pesa za kujikimu na mshahara leo hii wana miezi miwili wapo vituo vya kazi lakini hawana mshahara wala pesa ya kujikimu na kazi wanafanya serikali acheni mateso ya namna hii kama hamtaki kuajiri semeni tu.

Inauma sana aiseee kuwa omba omba huku unafanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni.
Sasa hata nyie watu wa mahakamani mnaleta mashtaka humu jamiiforums badala ya kuwaburuza ofisini kwenu hao wanaowadhurumu .
Sio dharau huo ni ushauri positive. Unafikiri kupayuka hapa ndio hela itakuja?

Sisi wengine mbona tulikaa miezi 4 bila pesa ila badae tukapewa? Watulie wachape kazi ili umuhimu wao uonekane....pia mbona hawatwambii kama wameishafikisha malalamiko yao kwa wakubwa wao wa Mahakama?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali haina hela bichwa yuko bize na uteuzi..na kulipiza visasi na kufilisi watu waliokuwa wanamnyoosha wakati kapuku
 
Kwani waliambiwa wakifika ofisini tu zitaingia?? Wawe na kumbukumbu zao live tangu nauli hadi hoteli wanazo lala. Usionyeshe ya 5 star receipt kule Chato wakati unafanya kulee Biharamulo. Usijaribu kuongeza chochote ni akheri usahau uje kudai au kusamehe kuliko nyongeza kidogo. Itaku-cost.
Serekali haimuibii mtu ila watu ndio huiibia sana tu
 
Hizo nafasi walio pata kuna uchakachuaji wa hali ya juu uliohanyika kwenye kuajiri.. ndio mana magufuli alipo ingia tu madarakani wote uliondolewa kazini ili upepo utulie.. ndio mana mmeitwa tena kazini, lakini kwavile mlilatikana kwa njia batili, ndio mana hakuna wa kuwatetea kwenye hilo..
Msipo angalia mtaambiwa muende tena nyumbani mkapunzike mpaka mtakapo itwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
acha ungese ww
 
Back
Top Bottom