johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,413
Waziri wa kilimo Prof Mkenda amesema serikali imefuta utaratibu wa kuagiza mbilea kwa zabuni na kuanzia sasa wafanyabiashara wote wenye uwezo wanaruhusiwa kuingiza mbolea nchini.
Mkenda amesema utaratibu wa tenda ulipelekea bei ya mbilea kupanda sana hivyo wafanyabiashara wanaruhusiwa kuingiza mbolea na kuuza kulingana na bei ya soko ( soko huria(
Chanzo: ITV habari
Mkenda amesema utaratibu wa tenda ulipelekea bei ya mbilea kupanda sana hivyo wafanyabiashara wanaruhusiwa kuingiza mbolea na kuuza kulingana na bei ya soko ( soko huria(
Chanzo: ITV habari