Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
- Thread starter
- #21
wapo na wataendelea na kazi ya kuwaongoza makarani wa sensa kama kawaida na wameahidi kufanyakazi hiyo kufa na kupona kuhakikisha mambo yanakwenda kwa ufanisi wilayani hai
Sasa nini kimetokea? Vyombo vya Habari vimemnukuu RC vibaya au wewe umekaidi amri ya RC?