Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Sera za US kwa Africa zipo wazi. Lengo la kikao ni kuongeza ushawishi zaidi wa US kwa Africa, ushawishi wa kisiasa na hasa ndio wenye matokeo chanya kwa US...

Us Anadeal na Huduma za Kijamii ( Afya, Elimu)

Hana Muda wa kuwekeza Kwenye Bandari

Sababu Kuu yeye yupo Kisiasa zaidi Barani Afrika anajua Ukimwi, Malaria, Fistula ndio eneo la kutushika akili

NB: Ushawishi wake wa kisiasa lengo kuu ni kuendelea kupandikiza viongozi wake baraka ili kulinda maslah yake ( PK, M7, Nk)
 
Haya mapesa ya kujega Bagamoyo kwanini tusitumie kupanua Dar, Tanga na Mtwara?? Bandari 4 zote kubwa kwenye mwambao mmoja za nini??
Wazo zuri embu toa na project proposal in summary tupime ili tusapoti idea kwa nguvu. isije ikawa kama General tyre, gharama za kupanua bandari zikawa kubwa kuliko za kujenga mpya ya kisasa.
 
Wazo zuri embu toa na project proposal in summary tupime ili tusapoti idea kwa nguvu. isije ikawa kama General tyre, gharama za kupanua bandari zikawa kubwa kuliko za kujenga mpya ya kisasa.

Wazo zuri embu toa na project proposal in summary tupime ili tusapoti idea kwa nguvu. isije ikawa kama General tyre, gharama za kupanua bandari zikawa kubwa kuliko za kujenga mpya ya kisasa.

Jikiteni Kwenye Kilimo, Viwanda vya Mazao

Mbona Umaskini ungepungua tujitahidi Kuzalisha ndani sio kila wakatitunafikiria kupanua mabandari ambayo yaingiza mpaka chumi, Toothpick, bikini, wakati hizi ni fursa zetu hapa ndani

Wanasiasa wanwaza tu kodi za Bandarini awaumii Fedha za Kigeni kuzitoa nje mpaka kununua chupi


Ni Aibu Tanzania Kuagiza Vitu hivi

Ngano
Sukari
Mafuta ya Kula
Nguo ( Chupi, bikini, nk)
Samaki
Unga wa Kuzalishi juice , Mziwa


Kama Vitu hivi na Rasilimali tulizo nazo za Ardhi , Maji , nguvu kazi tungepiga hatua angalau.
 
1659700941408.png

China (CMHI) na Oman (OIA) wamejitoa kwenye mazungumzo ya uwekezaji wa mradi wa Bandari ya Bagamoyo. Sababu za wawekezaji hao kujitoa katika mradi huo ambao ungegharimu Tsh 23.3 trilioni hazijawekwa bayana hadi sasa. Serikali inatafuta mwekezaji mpya.

Chanzo: The Guardian
 
Jikiteni Kwenye Kilimo, Viwanda vya Mazao

Mbona Umaskini ungepungua tujitahidi Kuzalisha ndani sio kila wakatitunafikiria kupanua mabandari ambayo yaingiza mpaka chumi, Toothpick, bikini, wakati hizi ni fursa zetu hapa ndani

Wanasiasa wanwaza tu kodi za Bandarini awaumii Fedha za Kigeni kuzitoa nje mpaka kununua chupi


Ni Aibu Tanzania Kuagiza Vitu hivi

Ngano
Sukari
Mafuta ya Kula
Nguo ( Chupi, bikini, nk)
Samaki
Unga wa Kuzalishi juice , Mziwa


Kama Vitu hivi na Rasilimali tulizo nazo za Ardhi , Maji , nguvu kazi tungepiga hatua angalau.
Kwann unasema jikiteni? Ww si mtanzania? Au hujafika umri wa kulipa kodi? Anyways, Upo sahihi, hivyo vitu ni aibu kuagiza ila soko la ndani halitoshi kukuza uchumi wetu, mazao yetu yakiuzwa ndani tu bei inakuwa chini sana, tunahitaji bandari ya kisasa kwa ajili ya export ya products iwapo tutaboresha bidhaa za ndani kama ulivyopendekeza. Import pia ni kwa ajili ya nchi jirani zisizo na bandari.

Imagine bandari yetu inaruhusu kupokea meli kubwa na tuna business zone katika eneo hilo hilo la bandari ambalo mazao na bidhaa za kitanzania zipo na import za nchi jirani zipo kwa kiwango kikubwa.
 
Ni Rasmi Mkataba Huo ni Kichaa pekee angekubali masharti yale .

Kufufuliwa kwa mazungumzo yale Vijana wengi ambao hata Mkataba awajawahi kuuona walidai JPM alikataa mradi kwa roho mbaya

Leo Hii Vichwa Chini Yuko wapi Yule Ngoswe Wa Kigoma Mchumba wa Serikali ya Kule Zenji na Kiongozi Mkuu wa zambarau?? alidai Tumejikosesha uchumi wakati hata mkataba ajawahi utia machoni

Pamoja na Job Ndugai
 
Kwann unasema jikiteni? Ww si mtanzania? Au hujafika umri wa kulipa kodi? Anyways, Upo sahihi, hivyo vitu ni aibu kuagiza ila soko la ndani halitoshi kukuza uchumi wetu, mazao yetu yakiuzwa ndani tu bei inakuwa chini sana, tunahitaji bandari ya kisasa kwa ajili ya export ya products iwapo tutaboresha bidhaa za ndani kama ulivyopendekeza. Import pia ni kwa ajili ya nchi jirani zisizo na bandari.

Imagine bandari yetu inaruhusu kupokea meli kubwa na tuna business zone katika eneo hilo hilo la bandari ambalo mazao na bidhaa za kitanzania zipo na import za nchi jirani zipo kwa kiwango kikubwa.

Nafsi tu ndio nimekosea. ( Tujikite)

sasa Chifu Ngano , Sukari , Samaki iwe ni batili kuvipokea kutoka nje kwa kuwekeza hapa ndani

Tatizo hii miradi ya kilimo ainufaishi wapigaji ila maujenzi ya Mabandari watu upata 10% zao haraka sana

niamini hatuna shida ya Bandari kama Bandari zetu zitafanya kazi kwa ufanisi.

Bandari ya Tanga ipo tena nzuri sana Kama Bandari ya Dsm inazidiwa Hapo Tanga ni Jirani sana kuhudumia Mikoa Ya Kanda ya ziwa kupitia Singida road… Ukiongezea Tuna Reli ya Mita Gauge Tanga To Dsm Why TRC na TPA wasiingie Ubia Dsm to Tanga iwe bize??
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
View attachment 2315050
China (CMHI) na Oman (OIA) wamejitoa kwenye mazungumzo ya uwekezaji wa mradi wa Bandari ya Bagamoyo. Sababu za wawekezaji hao kujitoa katika mradi huo ambao ungegharimu Tsh 23.3 trilioni hazijawekwa bayana hadi sasa. Serikali inatafuta mwekezaji mpya.

Chanzo: The Guardian
Ndio Vizuri,tunamtaka America,walijua kuna vya bure,havipo.
 
Nafsi tu ndio nimekosea. ( Tujikite)

sasa Chifu Ngano , Sukari , Samaki iwe ni batili kuvipokea kutoka nje kwa kuwekeza hapa ndani

Tatizo hii miradi ya kilimo ainufaishi wapigaji ila maujenzi ya Mabandari watu upata 10% zao haraka sana

niamini hatuna shida ya Bandari kama Bandari zetu zitafanya kazi kwa ufanisi.

Bandari ya Tanga ipo tena nzuri sana Kama Bandari ya Dsm inazidiwa Hapo Tanga ni Jirani sana kuhudumia Mikoa Ya Kanda ya ziwa kupitia Singida road
Ni kweli 10% ni ndogo kwenye maproject ya ndani kama ya kilimo ila 10% zisitusumbue sana tuna vidhibiti vyake ni kuviimarisha tu. Kuhusu bandari tuna tatizo la ukubwa wa kina kuruhusu meli kubwa pia business zone ambayo wafanyabiashara wakubwa wanaweza kuja na kukaa hata miezi 6 wakifanya mambo yao.

Sasa kuamua tuboreshe zilizopo au tujenge mpya ni suala la sisi kuangalia cost analysis, RIO na uwezo wa bandari husika kufanya kazi huku ikifanyiwa marekebisho.
 
Ndio Vizuri,tunamtaka America,walijua kuna vya bure,havipo.
60yrs after independence ilibidi tuwe na uwezo wa kusimamia shoo sisi wwnyewe. Hapo naona kuna watu wamegomewa ten pasenti zao wameamua kuvuruga mchakato.

Uwekezaji mkubwa kama huo kwanini usielekezwe kwenye bandari iliyopo ili ku utilize kiingiacho kwa 100% ili faida itakayo patikana ielekezwe huko bwagamoyo kuijenga kwa phase ...
 
60yrs after independence ilibidi tuwe na uwezo wa kusimamia shoo sisi wwnyewe. Hapo naona kuna watu wamegomewa ten pasenti zao wameamua kuvuruga mchakato.

Uwekezaji mkubwa kama huo kwanini usielekezwe kwenye bandari iliyopo ili ku utilize kiingiacho kwa 100% ili faida itakayo patikana ielekezwe huko bwagamoyo kuijenga kwa phase ...
Uko sahihi but kwa sasa nadhani Serikali inatakiwa kuwa mbia yaani nayo iweke pesa sio kusubiria Investors pekee.
 
Back
Top Bottom