Serikali yafufua mchakato ujenzi Bandari ya Bagamoyo

Biden kaandaa kikao na viongozi wa Afrika. Nadhani kitafanyika siku si nyingi sana.

Tuombe uzima tusikie jinsi Marekani atakavyotangaza mabadiliko ya Sera yake kwa Afrika. Wabashiri wanadai sasa Marekani ataanza uwekezaji mkubwa Afrika kama anavyofanya China. Tusubiri tuone
Sera za US kwa Africa zipo wazi. Lengo la kikao ni kuongeza ushawishi zaidi wa US kwa Africa, ushawishi wa kisiasa na hasa ndio wenye matokeo chanya kwa US.

Kwa lugha nyepesi tu US ni kama hana Cha kuinvest Africa kwa kuwa anachotaka anakipata bila kutumia nguvu yoyote.
 
Kwani lazima wawekezaji? Kama tuliwekeza kwenye kununua ndege matrilioni ya shilingi tunashindwa nini kuwekeza fedha zetu wenyewe?

Hapo kinachotakiwa ni serikali kuweka mipango ya muda mrefu ya kuwekeza bila kuathiri miradi mengine.

Mama Samia hii ni fursa yako ya kuweka legacy(alama ya uongozi wako), Jenga mwenyewe hiyo Bandari.
 
Jarida la The African Report lilishaandika haya na kuelezea jinsi itakavyokuwa vigumu kwa Tanzania kuwashawishi tena Wachina kujenga Bandari Bagamoyo wakati China tayari amesha invest heavily kwenye Bandari ya Lamu hapo Kenya na Beira Msumbiji

Vyovyote vile ilikuwa ngumu sana China kufanya commitments kwenye Bandari zote hizo as kiuchumi lazima ingemletea hasara

Sasa tunachotakiwa kufanya Tanzania ni kupata mwekezaji ambaye sio mchina atakaye compete na mchina kwenye kanda hii
Sisi ikiwa ni hivyo ilikuaje walianzisha tena mazungumzo?

Nimekueleza china walianza ujenzi wa lamu kabla hata ya huu mradi wa Bagamoyo. Ujenzi wa lamu haukuhusiana na huu wa Bagamoyo. Alafu pia ni wawekezaji tofauti
 
Kwani lazima wawekezaji? Kama tuliwekeza kwenye kununua ndege matrilioni ya shilingi tunashindwa nini kuwekeza fedha zetu wenyewe?

Hapo kinachotakiwa ni serikali kuweka mipango ya muda mrefu ya kuwekeza bila kuathiri miradi mengine.

Mama Samia hii ni fursa yako ya kuweka legacy(alama ya uongozi wako), Jenga mwenyewe hiyo Bandari.
Unajua thamani ya huo mradi? Au unafikiri ni sawa na kujenga chumba Cha mlinzi.

Huo mradi ni zaidi ya trillion 20, unazitoa wapi? Hivi unajua nusu ya pesa serikali inayokusanya hutumika kwa mishahara? Nusu inayobaki kwa ajili ya operations na miradi ambayo haitoshi kabisa

Ingekua hatuna kabisa bandari basi ni kweli pengine tungeweza kujipiga kifua tuanzw mdogo mdogo, lakini tayari tuna bandari kubwa 3
 
Unajua thamani ya huo mradi? Au unafikiri ni sawa na kujenga chumba Cha mlinzi.

Huo mradi ni zaidi ya trillion 20, unazitoa wapi? Hivi unajua nusu ya pesa serikali inayokusanya hutumika kwa mishahara? Nusu inayobaki kwa ajili ya operations na miradi ambayo haitoshi kabisa

Ingekua hatuna kabisa bandari basi ni kweli pengine tungeweza kujipiga kifua tuanzw mdogo mdogo, lakini tayari tuna bandari kubwa 3
Ni fedha nyingi, tuliwekeza angalau trillion moja kwa mwaka tunaweza kufanikisha hata kwa miaka 20. Hakutakuwa na issue ya migogoro ya mikataba mibovu isiyojali maslahi ya nchi.
 
Ni fedha nyingi, tuliwekeza angalau trillion moja kwa mwaka tunaweza kufanikisha hata kwa miaka 20. Hakutakuwa na issue ya migogoro ya mikataba mibovu isiyojali maslahi ya nchi.
Unafanya hivyo ikiwa hauna option, ila kwa Sasa tuna bandari kubwa 3 na za kisasa.

Na pengine labda kweli bandari ingekua imezidiwa Sana na mizigo. Bandari haijazidiwa na mizigo bali ufanisi wa watendaji haupo.
 
Wanajadiliana namna ya kuuza nchi yao pumba kabisa.
Au wanaoandika haya ni mayatima 🤔
 
Marekani nao ni hopeless, hawawezi kuwekeza hapo, unless kama mnawapa military base na uranium, they are equally wachenzi kama China
Marekani ni mara mia
Yeye ataleta kampuni zake tu

Bora hata aweke base kuliko mchina
 
Sisi ikiwa ni hivyo ilikuaje walianzisha tena mazungumzo?

Nimekueleza china walianza ujenzi wa lamu kabla hata ya huu mradi wa Bagamoyo. Ujenzi wa lamu haukuhusiana na huu wa Bagamoyo. Alafu pia ni wawekezaji tofauti
Lamu port imeanza ku
Sisi ikiwa ni hivyo ilikuaje walianzisha tena mazungumzo?

Nimekueleza china walianza ujenzi wa lamu kabla hata ya huu mradi wa Bagamoyo. Ujenzi wa lamu haukuhusiana na huu wa Bagamoyo. Alafu pia ni wawekezaji tofauti

Soma hiyo, the African Report walishatabiri kuhusu ugumu wa kushawishi uwekezaji wa iyo Bandari kwa wachina kwa sasa na walisema kuhusu Bandari ya Lamu kama moja ya sababu
 
Sera za US kwa Africa zipo wazi. Lengo la kikao ni kuongeza ushawishi zaidi wa US kwa Africa, ushawishi wa kisiasa na hasa ndio wenye matokeo chanya kwa US.

Kwa lugha nyepesi tu US ni kama hana Cha kuinvest Africa kwa kuwa anachotaka anakipata bila kutumia nguvu yoyote.
Subiri kikao acha ramli
 
Unafanya hivyo ikiwa hauna option, ila kwa Sasa tuna bandari kubwa 3 na za kisasa.

Na pengine labda kweli bandari ingekua imezidiwa Sana na mizigo. Bandari haijazidiwa na mizigo bali ufanisi wa watendaji haupo.

Watu wanasaka 10% zao Kaka

Hatuna ulaazima wa Hiyo Bandari kwa sasa Bandari ya Dsm, Tanga , Mtwara usimamizi ni changamoto tungetatua hizi changamto kwanza

Kuliko kufikiri Kuwekeza Huko Tumalizie Sgr, tufikirie Mchuchuma Na Liganga.. Tufikirie Pia Uboreshaji wa Bandari ya Lindi nk

LINDI , Mtwara ni special zone ya Kuhudumia Msumbiji Kaskazini ( Ujenzi wa Barabara upande wa mueda unaendelea kupitia Mtambwaswala) Bado Tuna nafasi Ya Kuhudumi Malawi kwa 70% tukiwa na ufansi na ni karibu sana kutokea Mtwara to Lilongwe
 
Lamu port imeanza ku


Soma hiyo, the African Report walishatabiri kuhusu ugumu wa kushawishi uwekezaji wa iyo Bandari kwa wachina kwa sasa na walisema kuhusu Bandari ya Lamu kama moja ya sababu
Nimekuuliza hapo kwa nn hao wachina walikubali kuanza tena.mazungumzo?
 
Back
Top Bottom