Inawezekana pia wanashinikizwa na propaganda za serikali kwa kuwatishia kutokuwaletea maendeleo. Tuna mifano mingi tu ambayo maeneo yaliyo na viongozi wengi kutoka kambi zinazotofautiana na CCM (wabunge/madiwani), wananchi wake huwa wananyanyapaliwa na serikali kwa kauli kama 'waambie wapinzani wawaletee maendelea.'
Na kuna kama ile kampeni ya muungwana -2005,'mafiga matatu', ile ilikuwa inashinikiza kiaina, kwamba ukichagua ni lazima uchague wote watau (raisi, mbunge na diwani), pamoja na kuwa maeneo mengine wabunge waliopendekezwa na CCM (Rita mlaki, Jackson Makweta, Mzindaka et el)wanachi hawakuwataka, JK aliwapigania ili wakubalike kwa wananchi.Sina uhakika mchango wao ukoje kwa hao wananchi, au labda bado wanaendekeza 'bifu'.
Cha muhimu pia ni kuwaambia wananchi ile dhana kuwa serikali italeta maendeleo wakati wao wamekaa wanapiga porojo ni kiini macho, watakapo anza kujitafutia maendeleo wao wenyewe hapo kutakuwa na mabadiliko ya kweli.
Na kuna kama ile kampeni ya muungwana -2005,'mafiga matatu', ile ilikuwa inashinikiza kiaina, kwamba ukichagua ni lazima uchague wote watau (raisi, mbunge na diwani), pamoja na kuwa maeneo mengine wabunge waliopendekezwa na CCM (Rita mlaki, Jackson Makweta, Mzindaka et el)wanachi hawakuwataka, JK aliwapigania ili wakubalike kwa wananchi.Sina uhakika mchango wao ukoje kwa hao wananchi, au labda bado wanaendekeza 'bifu'.
Cha muhimu pia ni kuwaambia wananchi ile dhana kuwa serikali italeta maendeleo wakati wao wamekaa wanapiga porojo ni kiini macho, watakapo anza kujitafutia maendeleo wao wenyewe hapo kutakuwa na mabadiliko ya kweli.