Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Wachina wachache sana wanaongea kingereza wengi ni ali baba
Kwa hiyo ndio maana wanaajiri sana wachina wenzao sababu supervision lazima ifanywe na wachina wenzao na haohao wachina wenzao napo hawajui kiingereza kwa hiyo inawalazimu sasa nao waajiri wachina zaidi kwa sababu ya Language barrier.
Ila ukirudi kwa wazungu wengi wao wanajua kiingerza licha ya kutokutokea katika nchi zisizo za kiingereza kwa hiyo inakuwa rahisi sana kuwaajiri watanzania wengi sababu hakuna language barrier tena