Hivi ni Serikali ndio inafanya Mazungumzo au ni Rais / Dr. ndio huwa ana-negotiate masuala ya Bei?
Tusichanganye Serikali hapa kwenye suala la mtu, Mazungumzo yote na hata mchakato wa manunuzi unakuwaga na supporting docs, pia unakuwa wa Uwazi na Ushirikishwaji kwa wadau.
Punda kama huyu ndio atawafaa kwani gharama zake ni za chini vinginevyo hata hayo mazao hayatauzika ulaya