Serikali yaanza mazungumzo kwa ajili ya kununua ndege nyingine ya mizigo

Hivi ni Serikali ndio inafanya Mazungumzo au ni Rais / Dr. ndio huwa ana-negotiate masuala ya Bei?

Tusichanganye Serikali hapa kwenye suala la mtu, Mazungumzo yote na hata mchakato wa manunuzi unakuwaga na supporting docs, pia unakuwa wa Uwazi na Ushirikishwaji kwa wadau.
1576438455173.png

Punda kama huyu ndio atawafaa kwani gharama zake ni za chini vinginevyo hata hayo mazao hayatauzika ulaya
 
Kama mchakato wa kununua ndege ya mizigo umeishaanza sidhani kama kuna ubaya tukishauri aina ya ndege itakayotufaa kubeba mizigo ya kiraia na pale itakapohitajika mizigo ya kijeshi. Nashauri inunuliwe McDonnell Dougrass 10....DC*KC-10.💪View attachment 1262139
Kwanini unashauri hiyo toa maelezo kidogo
 
Kwanini unashauri hiyo toa maelezo kidogo
Hiyo ndiyo mashine ya ukweli kwenye ndege za mzigo zenye injini tatu, pamoja na kutokuwa na jina kubwa kama Boeing, bado viwango vya utengenezaji wake kwa kubeba mizigo havijabadilika na kwa maana hiyo bei ya kununulia na gharama za uendeshaji ziko chini ukilinganisha na hizi zenye majina makubwa.

Pili .. Uthabiti wa MD 11 haujapata kutiliwa shaka, historia yake ikianzia enzi za vita vya pili vya Dunia. ndege hiyo imebakia kuwa punda wa mizigo kwa mashirika kadhaa ya ndege za kigeni kama KLM, Lufthansa lakini zikitumika zaidi kubeba mizigo kwenye jeshi la marekani.
 
Back
Top Bottom