Kwa vile wengine wanafanya haimaanishi na sisi tufanye hivyo. Let's do away with madalali! Hela nyingi zinapotea kupitia hawa watu. Hivyo hamna kitengo serikalini kinachoweza kufanya hiyo kazi?. Hebu gazeti la jamhuri lituchunguzie hayo makampuni ni ya nani.Hata katika nchi zilizoendelea kazi ya kufuatilia madeni hufanywa na madalali!
Hakuna jambo la ajabu kwa madalali kufanya kazo hiyo!