Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,376
Hii ndio hali halisi .
Natoa wito kwa Mbunge wa Mbeya Mjini Mh Joseph Mbilinyi kuiangalia Iyunga kwa jicho la huruma .
Mkuu hii ni program ya Coca-Cola competitors kukusanya chupa kwäwanafunz shule za sec kutakua na zawad.View attachment 1179128
View attachment 1179130
Hii ndio hali halisi .
Natoa wito kwa Mbunge wa Mbeya Mjini Mh Joseph Mbilinyi kuiangalia Iyunga kwa jicho la huruma .
Mashindano ya nini ?Mkuu hii ni program ya Coca-Cola competitors kukusanya chupa kwäwanafunz shule za sec kutakua na zawad.
Ni kweli shule zina matatazo lakin hii ya ķukušanya chupa ni mashindano.
Kwa hiyo jamaa anatupiga propaganda sio.?Mkuu hii ni program ya Coca-Cola competitors kukusanya chupa kwäwanafunz shule za sec kutakua na zawad.
Ni kweli shule zina matatazo lakin hii ya ķukušanya chupa ni mashindano.
shule itakayoshinda inajengewa uwanja wa mpira wa kisasaMashindano ya nini ?
Wangeshindanisha shule za msingi!shule itakayoshinda inajengewa uwanja wa mpira wa kisasa
Kwanini usichunguze na wewe kutoka kwa huyo aliyekupa taarifa na kama muungwana uje na taarifa ya pili.Mashindano ya nini ?
acha uongo wewe kabda yakuweka bandiko hapa fanya utafiti haya ni mashindano ya shule Tanzania nzima china ya coc-cola
inashinda nini ?shule itakayoshinda inajengewa uwanja wa mpira wa kisasa
Dah ooh My God
Shule yangu ya o level hiyo
Eeh Mungu wangu , aisee
Hivi ile harambee tuliyochangia hela zilifika kweli
Hazchem plate njoo uone madogo wanavyoteseka sa hivi
Shule itayokusanya makopo mengi..inashinda nini ?
imeletwa humu kwa malengo maalumShule itayokusanya makopo mengi..
Ila ni programme ya kipuuzi.
Watoto hawasomi ...wanageuka kuwa machokoraa..
Sijui serikali huwa inawaza nin .!??
Kuna RAIA kibao mtaani Wa kufanya kazi hizi.
Tulia kwanza turekebishe tabia za watuKwa jamaa anatupiga propaganda.
Nimekusoma.imeletwa humu kwa malengo maalum
sijakurupuka mkuuKwanini usichunguze na wewe kutoka kwa huyo aliyekupa taarifa na kama muungwana uje na taarifa ya pili.