babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,119
- 27,201
Kuna sehemu walishutumu Tanzania kwa upikaji wa uchumi kama wanavyoshutumu nchi zingine ?Wakati IMF waki dispute takwimu za ukuaji wa uchumi wa asilimia 7 na wao kusema asilimia 5.2 mwaka jana wewe bado ulikuwa Kolomije nini?
Hizo taasisi si zilikuwa zinajikanyaga zenyewe.