- Thread starter
- #101
December 2019
Chato, Geita
Tanzania
Miundo-mbinu ya makazi ya watu
Siku mkipelekwa baharini au ziwani na mafuriko msiilaumu serikali maana nchi hii hakuna mipango miji wala vijiji hivyo kabla ya kujenga makazi waulizeni wazee wa maeneo husika bila hivyo sufuria zenu zitakwenda na maji ya mafuriko.
Chato, Geita
Tanzania
Miundo-mbinu ya makazi ya watu
Siku mkipelekwa baharini au ziwani na mafuriko msiilaumu serikali maana nchi hii hakuna mipango miji wala vijiji hivyo kabla ya kujenga makazi waulizeni wazee wa maeneo husika bila hivyo sufuria zenu zitakwenda na maji ya mafuriko.