Serikali yaanza kugawa Kofia za Katiba pendekezwa badala ya Katiba pendekezwa

Hii nchi ni ya funika kombe mwanaharamu apite....huo ndo uwezo wa kufikiria ulipojikita sidhani kma hili zoezi litafanikiwa kwa uhalali kma si kwa ujanja ujanja tu
 
Haki ya nani nimecheka sana! CCM ni matapeli nambari one!
Sasa kugawa kofia za ndiyo katiba mpya wakati hao unaowapa kofia hawaijui katiba yenyewe si USANII mchana kweupe???
Kama nchi imewashindwa si muondoke tu??
 
Haki ya nani nimecheka sana! CCM ni matapeli nambari one!
Sasa kugawa kofia za ndiyo katiba mpya wakati hao unaowapa kofia hawaijui katiba yenyewe si USANII mchana kweupe???
Kama nchi imewashindwa si muondoke tu??

Tuondoke twende wapi mkuu? Mbona hututakii mema??..
 
Huko china viwanda vya t-shirts na kofia viko bize ni mwaka wa kutengeneza super profit huu kutoka Tanzania. Ni bora hata zingetengenezewa hapa nchini lakini viwanda viko wapi na wamevitafuna vyote?
 
ILA mnajisumbua maana katiba mnayoipendekeza haipiti hata mfanyeje watanzania tulifuatilia Bunge lenu la ccm na tuliona uozo wote mliokuwa mnaupendekeza. Nawashauri ifungieni hiyo katiba ofisini mpaka siku ya kupiga hiyo Kura mwende na watoto wenu wa ccm mkapige. Mna kazi ya kuwasomea watu kwenye tbccm kila siku asubuhi kwa taarifa tu ni kwamba hakuna mtanzania anaengalia tbccm labda mafisadi .
 
ILA mnajisumbua maana katiba mnayoipendekeza haipiti hata mfanyeje watanzania tulifuatilia Bunge lenu la ccm na tuliona uozo wote mliokuwa mnaupendekeza. Nawashauri ifungieni hiyo katiba ofisini mpaka siku ya kupiga hiyo Kura mwende na watoto wenu wa ccm mkapige. Mna kazi ya kuwasomea watu kwenye tbccm kila siku asubuhi kwa taarifa tu ni kwamba hakuna mtanzania anaengalia tbccm labda mafisadi .
lancanshire, hasira na kilio chako vinaeleweka sana. Sote tunaopenda kuona nchi yetu inabadilika kwa manufaa ya wananchi wote tuna hasira na kilio hicho hicho. Lakini ukweli ni kwamba tupige kura ya ndiyo au la au tususie hii ndio kitu pekee ambacho jungu kuu anafikiria ataweza kukumbukwa katika historia ya Tanganyika. Kwa hivyo tupende tusipende hatuwezi kulishinda jungu kuu. limeishapania na ndiyo sababu ya uchakachuaji uliouona na huo unaokuja.
 
CCM ni janga la taifa.Wanajua mtindo wanaotumia kudanganya watu kwa kofia na kanga,wataweza hata kwenye katiba.Ni vizuri vyama vya upinzani vikajipanga ili kuhakikisha wananchi wanaelimishwa vyema.CCM iko radhi kwa chochote kwa sababu wanajua lengo lao.
 
Shilingi Billion 122 za kununua kofia! sii miezi 4 iliyopita watu wamelazimishwa kuchangia Maabara kwenye shule za sekondari za kata? kumbe pesa zipo!
Madawati mangapi yangetegenezwa ili kukabiliana na uhaba wa madawati mashuleni? hii nchi ina viongozi wa aina gani?!!
 
Shilingi Billion 122 za kununua kofia! sii miezi 4 iliyopita watu wamelazimishwa kuchangia Maabara kwenye shule za sekondari za kata? kumbe pesa zipo!
Madawati mangapi yangetegenezwa ili kukabiliana na uhaba wa madawati mashuleni? hii nchi ina viongozi wa aina gani?!!

Funika kombe shetani apite
 
Shilingi Billion 122 za kununua kofia! sii miezi 4 iliyopita watu wamelazimishwa kuchangia Maabara kwenye shule za sekondari za kata? kumbe pesa zipo!
Madawati mangapi yangetegenezwa ili kukabiliana na uhaba wa madawati mashuleni? hii nchi ina viongozi wa aina gani?!!

Nenda Muhimbili kwenye dirisha la dawa utaambuliwa aspirini na panadol tu!
 
attachment.php


Tukisema nchi hii ina ombwe la uongozi na imejikatia tamaa kuna watu wanabisha. Si ajabu kuwasikia viongozi wa kisiasa hasa wa CCM wakipiga kelele majukwaani kuwa someni katiba pendekezwa muielewe na muipigie kura ya ndio.

Ajabu yake katiba hizo hazijagawiwa kwa wananchi, sasa nashidwa kuwaelewa hawa wakoloni weusi katiba wanayotuambia tuisome iko wapi.

Hivi karibuni nilifunga safari mpaka kwa msimamizi wa uchaguzi jimbo la Iringa na nikamuomba katiba pendekezwa , akasema hata yeye hajawai kuiona, hajui hata rangi yake.

Baada ya serikali hii dhaifu kushindwa kuchapisha na kugawa hiyo katiba ya vijisenti,sita na wenzake. Sasa wameanza kugawa kofia zinazowataka watanzania waipigie kura ya ndio katiba ambayo hawajawai kuiona,, kama sio wehu ni nini?

Rai yangu kwa Watanzania wenye akili timamu waikatae katiba hii ya kipuuzi kwa nguvu zao zote.

Nafikiri sio sahihi kwa serikali kuhamasisha wananchi waipigie rasimu ya katiba kura ya 'ndio' kwa sababu kura ina pande mbili ndio au hapana. wao walitakiwa kuwaacha wananchi wafanye maamuzi kwa kusema ndio au hapana. Je, kwa nini mwananchi hasichague 'hapana' kama sehemu yake ya ku-exercise democracy?!

Serikali inatakiwa iwahamasishe wananchi kupiga kura lakini sio kura gani. Kofia hizo zinatakiwa zisomeke 'piga kura ya maoni ya katiba mpya'.
 
pengine kila wafanyaro watz kazi yetu ndioyoooo. Watz Hata hilo daftari la kudumu la wapiga kura ni mchezo mchafu unachezwa ili waje kuandikisha watu wachache na wengi tusiandikishwe. Haiwezekani kwa mwezi mmoja watz wenye sifa wote waandikishwe tena eti kwa zamu. Mungu tuepushe na viongozi waroho na wenye roho mbaya km tuwaonavyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom