MP CHACHANDU
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 875
- 615
Nimesikia kwenye magazeti ya leo kuwa serikali imeanza kufanya tathimini ya familia zenye njaa na kuanza kugawa chakula nchi nzima .
Chanzo.magazeti ya leo
Chanzo.magazeti ya leo
Acha uchochezi wewe uneshaambiwa Tanzania hakuna njaaNimesikia kwenye magazeti ya leo kuwa serikali imeanza kufanya tathimini ya familia zenye njaa na kuanza kugawa chakula nchi nzima .
Chanzo.magazeti ya leo
We nyosha kidole kama una njaa wakuletee chakula. Maswali ya nini tena?Kwani si serikali inasema Tanzania hakuna njaa!!! Hakika nchi hii inaongozwa vibaya
Wakaona hii itakuwa aibu kubwa kwa ccmLowassa aliazimia kugawa chakula kama serikali wasingetoa chakula..
Yeye angetoa wapi hicho chakula kama nchi ina upungufu? ataagiza Burundi?Lowassa aliazimia kugawa chakula kama serikali wasingetoa chakula..
Siri-kali imenunua shamba?Nimesikia kwenye magazeti ya leo kuwa serikali imeanza kufanya tathimini ya familia zenye njaa na kuanza kugawa chakula nchi nzima .
Chanzo.magazeti ya leo