eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,653
- 13,794
Watu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.
Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.
Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.
Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni
Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Inatozwa kwa sheria ipi!!?