Mabenki yaanza kukusanya Tozo za Serikali kwenye miamala wanayofanya wateja

Watu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.

Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.

Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.

Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni

Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.

Inatozwa kwa sheria ipi!!?
 
Kamshahara ninakolipwa na mhindi kanakatwa kodi, benki kanakutana na tozo, nikituma kwa wazazi kijijini nakutana na tozo, nikinunua umeme tozo, kila kona tozo, sasa nasikia kuna tozo mpya inakuja kila tulalapo na wake zetu.
 
Watu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.

Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.

Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.

Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni

Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Hizi 'tozo' limekuwa jambo.

Hela ya namna hii ndiyo huliwa na wajanja bila ya jasho kabisa.
Hizi tozo zilisemwa mwanzo kabisa kwamba zitajenga madarasa na zahanati; pesa ya IMF ilipokuja habari ikaendelea kuwa hiyo hiyo kujenga vitu vilevile. Sasa watu watapumbazwa, mwisho wa siku wataambiwa hela yote ilitumika ilivyopaswa kutumika, kumbe 'tozo' imepitishwa pembeni!
 
Kamshahara ninakolipwa na mhindi kanakatwa kodi, benki kanakutana na tozo, nikituma kwa wazazi kijijini nakutana na tozo, nikinunua umeme tozo, kila kona tozo, sasa nasikia kuna tozo mpya inakuja kila tulalapo na wake zetu.
Mwishowe hata hewa unayovuta utaambiwa utoe tozo kwa ajiri ya mazingira, hukusikia habari za mlima Kilimanjaro mazingira yake kuathirika?
Wewe subiri tu hapo hapo 'tozo' ya "Hewa" haiko mbali.
 
Serikali imetupush to the limit

Any further push kwa kweli itabidi wajiandae kwa consequences. Hili halikubaliki

Serikali gani hii inafanya mambo bila weledi wala misingi ya utu namna hii!?

Hatutaki maendeleo kwa pesa za kudhulumu watu, hata Mwalimu alisema maendeleo ya hivyo hapana!
Inatosha sasa!
 
Jiwe alikuwa anachungulia akaunti za watu akikuta imenona anapora. Lkn huyu mama anapora kwa staili ya tozo. 2025 tuseme NO
 
Watu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.

Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.

Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.

Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni

Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.
Ni unyang'anyi uleule......kwa sheria kandamizi
 
Kodi ya mshikamano

Ujerumani wao wamelipa miaka mingi huko nyuma


Sisi tunaona mambo haya ni mapya, ndio mshikamano huo, hakuna namna tulipe tuu..

Bullshit! Mshikamano wa kumkamua mtu asiye na uhakika wa milo miwili kwa siku huku mkuu wa nchi anazunguka na misafara ya ma VX zaidi ya 50 na helikopta 2 juu? Serikali iongoze kwa kuonyesha uzalendo wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
 
Bullshit! Mshikamano wa kumkamua mtu asiye na uhakika wa milo miwili kwa siku huku mkuu wa nchi anazunguka na misafara ya ma VX zaidi ya 50 na helikopta 2 juu? Serikali iongoze kwa kuonyesha uzalendo wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Nchi ya mazwazwa hii mpk siku yakazinduke yatakuwa yashakamuliwa vya kutosha
 
CHADEMA mlisema JPM akifa mtapata Uhuru nadhani hapa Mungu anawajibu kupitia Samia ,wanasema ukiomba mama wa kambo afe anakufa mamako na ndio unaipata fresh


Tulieni dawa iingie so mlitaka demokrasia ndio hii Sasa tena ya kiuchumi kizalendo

USSR
Kwani we hiyo tozo hukatwi ,kama bado unawaza genge la chato nenda kalinde kaburi lake
 
Watu wameanza kuletewa meseji kwenye simu kuhusu tozo wanazotozwa pindi wakifanya miamala ya kibenki.

Naona serikali imeamua sasa kutwaa fedha za wananchi kupitia tozo.

Sasa kinachofanyika, wananchi wanailipa serikali kodi za kawaida kama vile VAT n.k, halafu inakuja on top of that inakwangua pesa za watu kwa jina la tozo
Kwa kwenli tozo ni kama unyang'anyi wa wazi.

Mfano wa meseji ambao watu wanapata ni

Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.

Pana haja ya kufuata accounts statements na kulianzisha ikithibitika.

Miamala tuliachana nayo si kwa kupenda 😁😁.

Kama na huku tena hapo itakuwa ni kutafutana uchawi!
 
Bullshit! Mshikamano wa kumkamua mtu asiye na uhakika wa milo miwili kwa siku huku mkuu wa nchi anazunguka na misafara ya ma VX zaidi ya 50 na helikopta 2 juu? Serikali iongoze kwa kuonyesha uzalendo wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
Hizi kodi za mshikamano mimi nataka mama aziongeze kila sehemu, hawa watu wakikamuliwa vizuri kwenye chaguzi akili zitaanza kuamka!
 
Back
Top Bottom