pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Hili swala la korosho Serikali isipoangalia kwa makini itapandikiza chuki baina yake na wananchi.
Haiwezekani mpige marufuku wanunuzi binafsi alafu mje na hoja mfu eti korosho hazina ubora.
Mmehifadhi korosho bila kuzingatia usalama wa uhifadhi mkatia watu hasara alafu mnadai korosho zao ni daraja la tatu, alafu watu wakiichukia Serikali mnashupaza shingo na kuwasaka muwapige risasi, mtavuna mlichopanda.
Source: Watu ninao wafahamu huko mtwara
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekani mpige marufuku wanunuzi binafsi alafu mje na hoja mfu eti korosho hazina ubora.
Mmehifadhi korosho bila kuzingatia usalama wa uhifadhi mkatia watu hasara alafu mnadai korosho zao ni daraja la tatu, alafu watu wakiichukia Serikali mnashupaza shingo na kuwasaka muwapige risasi, mtavuna mlichopanda.
Source: Watu ninao wafahamu huko mtwara
Sent using Jamii Forums mobile app