Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Prof. Ndalichako amewataka Walimu Wakuu Shule za Msingi kufungua Ofisi maalum za kuwasikiliza Wanafunzi wenye matatizo ya kisaikolojia “Wanafunzi wote hawawezi kuwa kwenye hali sawa, fungueni ofisi Wanafunzi wafahamu wamuone nani wakiwa na vitu vya kifamilia vinawatatiza.”
“Hii itasaidia kupunguza hata changamoto za Wasichana, fungueni hizo sehemu za ushauri/unasihi, Watoto wana changamoto na hawana Watu wa kuwaeleza matokeo yake wanaacha Shule sababu ya shida ndogondogo ambazo wangepata sehemu ya kuzisemea wangepona” - Prof. Joyce Ndalichako.
“Hii itasaidia kupunguza hata changamoto za Wasichana, fungueni hizo sehemu za ushauri/unasihi, Watoto wana changamoto na hawana Watu wa kuwaeleza matokeo yake wanaacha Shule sababu ya shida ndogondogo ambazo wangepata sehemu ya kuzisemea wangepona” - Prof. Joyce Ndalichako.