BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,005
Wacha UJUHA wewe!
Nyerere aliita kasuku nilikuwa mdogo kipindi hicho ila hii kasuku naikumbuka
Nyerere aliita kasuku nilikuwa mdogo kipindi hicho ila hii kasuku naikumbuka
Miradi yenyewe ni kama hii, naona serikali inatafuta pesa humu. Miradi 15 ya Kimkakati Awamu ya Pili KutekelezwaKwa hiyo tumetoka kwenye vyeti feki,tunakuja kwenye mikataba. Haya bwana kazi ipo.
Hivi wewe unaelewa majukumu ya CCM, Chadema na Serikali? Hivi Serikali ya Japan ikitoa msaada wa barabara inatoa kwa CCM? au inapojenga vile vyoo na madarasa ya msaada ni kwa CCM?Mbona Chadema visima vya Sabodo viliwashinda?
Usione vyaelea bwashee CCM inaaminika na wajapani!
Kumbe. Tanzania bwana kumbe hawa wafanyakazi wa muda mfupi. 😂😂😂.Serikali imeishiwa kwa kweli. So wanahisi kuna hewa na hapo?Miradi yenyewe ni kama hii, naona serikali inatafuta pesa humu. Miradi 15 ya Kimkakati Awamu ya Pili Kutekelezwa
Kwa msada wa watu wa MarekaniTwende ukajibu hoja yangu ya barabara ya Bagamoyo, hapa nilikuwa nakuchokonoa tu. Barabara inajengwa na JICA mipumbavu mnajisifia eti ni nyie mnajenga.
Mmeshindwa kujenga vyoo vya mashule, madarasa, maabara na maktaba na nyumba za walimu, mtawezaje kujenga Bagamoyo road?
Huo mchezo upo Sana kwenye kampuni za kihindi. Wajamaa wanapeana vyeo fake kila kukicha ili wapate permit, huko hukawii kukuta CEO ni mhasibu wa certificate.Hapana...
Hapa Mkuu natofautiana na wewe kabisa 100%
Wageni hawawezigusws...
Hawajawahi kuguswa!
Watu walishalalamika sana sana kuhusu wageni Kuoewa Mikataba ya Kazi ambazo Watanzania wanaweza kufanya..
Utakuta Mgeni ana renewed tuu Mkataba kwa Vyeo tofauti tofauti hadi Miaka 10plus!
Angalia Makampuni ya Bia,Simu,Cement,Migodini,Nishati!Ujenzi nk nk!
Waziri wa kazi, ajira na wenye ulemavu Jenister Mhagama amemtaka Katibu Mkuu wa wizara yake kukagua mkataba ya watumishi wote kwenye miradi ya kimkakati.
Mhagama amesema uhakiki huo una lengo la kuangalia kama mikataba hiyo ya kazi inakidhi vigezo vya kisheria na ina tija.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kwa hiyo weww ndo unaijua kesho?Ohoooo! Fagio hilo la chuma baada ya uchumi kuporomoka kwa kasi ya kutisha. Maelfu kufukuzwa kazi kwa mikataba “isiyo na tija” kwa serikali hii haramu.
Hapo kuna watu tyar wameshaandaliwa kukatwa.Huwezi kupima tija ya mfanyakazi ndani ya mwezi mmoja.
Ndio tumejenga sisi tena kwa fedha zetu za ndaniTwende ukajibu hoja yangu ya barabara ya Bagamoyo, hapa nilikuwa nakuchokonoa tu. Barabara inajengwa na JICA mipumbavu mnajisifia eti ni nyie mnajenga.
Mmeshindwa kujenga vyoo vya mashule, madarasa, maabara na maktaba na nyumba za walimu, mtawezaje kujenga Bagamoyo road?
Ndani kwenu Kumamoto?Ndio tumejenga sisi tena kwa fedha zetu za ndani
Huo mchezo upo Sana kwenye kampuni za kihindi. Wajamaa wanapeana vyeo fake kila kukicha ili wapate permit, huko hukawii kukuta CEO ni mhasibu wa certificate.