johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,666
Waziri wa maji Juma Awesu amezitaka kamati za ulinzi na usalama katika kila wilaya unapopita mto Ruvu kuweka ulinzi wa mto ili maji yasichepushwe
Awesu amesema uchepushaji maji ya mto Ruvu ni chanzo kikubwa cha uhaba wa maji jijini Dar es salaam.
Chanzo: ITV habari
Awesu amesema uchepushaji maji ya mto Ruvu ni chanzo kikubwa cha uhaba wa maji jijini Dar es salaam.
Chanzo: ITV habari