Mtoto wa Mkulima
JF-Expert Member
- Apr 12, 2007
- 683
- 123
Jamani nilikuwa nasikiliza radio maria kutoka magazetini nikasikia habari ya kushangaza sana. Yaani serikali imeamua kuagiza Bajaji badala ya Ambulace kubebea wagonjwa! Jamani sijui nyie mnnaona je mimi naona ni kichekesho jamani. Inanikumbusha mwaka 2004 nilienda Lindi nikakuta jamaa anabeba Maiti na baiskeli!
Hapo inakuwa je kuwa mama mjamzito anabebwa na Bajaji? nadhani bajaji sio salama hata kubeba abiria wa kawaida tuu labda zitumiwe kusambaza bidhaa kama sigara na maziwa.
Yaani serikali inapata pesa za kununua mashangingi inashindwa kununua Ambulace? Jamani natamani kulia hivi mgonjwa wako yupo kwenye Bajaji inaruka ruka kumwahisha hospitala huku katundikiwa dripi sijui inakuwa je jamana naona na lose temper hapa sasa.
Hapo inakuwa je kuwa mama mjamzito anabebwa na Bajaji? nadhani bajaji sio salama hata kubeba abiria wa kawaida tuu labda zitumiwe kusambaza bidhaa kama sigara na maziwa.
Yaani serikali inapata pesa za kununua mashangingi inashindwa kununua Ambulace? Jamani natamani kulia hivi mgonjwa wako yupo kwenye Bajaji inaruka ruka kumwahisha hospitala huku katundikiwa dripi sijui inakuwa je jamana naona na lose temper hapa sasa.