Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Zimbabwe kuna shetani mwingine anaitwa the crocodile has no different with ours.Zimbabwe naTanzania ni Kulwa na Doto. Ni mwendo wa kupiga, kuteka, kuua, kubambika kesi, kutofuata katiba na mengine yanayofanana na hayo.