Zaidi za kiafrica ,nchi ni Mali ya mtawalaHakuna Serikali duniani isiyo fanya hivyo ukikaidi amri yake. Amerika ndiyo zaidi
Bavicha huwa nawaonea huruma!Yote ni makatili , Mugabe and takataka hii ya sasa
Zaidi za kiafrica ,nchi ni Mali ya mtawalaHakuna Serikali duniani isiyo fanya hivyo ukikaidi amri yake. Amerika ndiyo zaidi
Bavicha huwa nawaonea huruma!
Hivi huwa mnafikiriaga kweli katika kutenda mambo yenu? Si mlishangilia Mugabe kuondolewa?
Nenda Libya ile ya Gadafi mliyeshamgilia sana kuondolewa kwake ukaone. Sasa hivi wanakula democrasia waliyoitamani toka kwa mzungu.
Wananch wanapigwa tu?
Mbona hujasema wamefanya nn?
Nachojua hao wako mawinguni kwa ustaarabu kuliko hapa kwetu.
Fafanua hoja yako.
Bavicha huwa nawaonea huruma!
Hivi huwa mnafikiriaga kweli katika kutenda mambo yenu? Si mlishangilia Mugabe kuondolewa?
Nenda Libya ile ya Gadafi mliyeshamgilia sana kuondolewa kwake ukaone. Sasa hivi wanakula democrasia waliyoitamani toka kwa mzungu.
..oneni Polisi wa Zimbabwe wanavyopiga wananchi wao.
..wanapiga hata wanawake wenye umri wa mama zao.
..kwanini Tz tuwe mstari wa mbele kutetea serikali katili kama ya Zimbabwe?
Kweli bwanaBavicha huwa nawaonea huruma!
Hivi huwa mnafikiriaga kweli katika kutenda mambo yenu? Si mlishangilia Mugabe kuondolewa?
Nenda Libya ile ya Gadafi mliyeshamgilia sana kuondolewa kwake ukaone. Sasa hivi wanakula democrasia waliyoitamani toka kwa mzungu.
Wananch wanapigwa tu?
Mbona hujasema wamefanya nn?
Nachojua hao wako mawinguni kwa ustaarabu kuliko hapa kwetu.
Fafanua hoja yako.
..siyo kweli.
..labda wawe wanafanya vurugu na kuharibu mali.
..na hawapigi waandamanaji kama vile ni wanyama.
Hivyo vikwazo ndo vinawapiga mara dufu kuliko hata hicho kipigo cha polisi.
Mtu anayefikiri vikwazo ndo suluhisho huwa napata tabu kuelewa utimamu wa akili yake.
Kwenye hizi nchi zetu anayebeba msalaba wa vikwazo ni huyo mwananchi wa kawaida zaidi kuliko waliosababisha matatizo.
yaani upinzani kwa afrika ulipaswa uwepo miaka kama 300 ijayo.Bavicha huwa nawaonea huruma!
Hivi huwa mnafikiriaga kweli katika kutenda mambo yenu? Si mlishangilia Mugabe kuondolewa?
Nenda Libya ile ya Gadafi mliyeshamgilia sana kuondolewa kwake ukaone. Sasa hivi wanakula democrasia waliyoitamani toka kwa mzungu.