Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Serikali ya Zanzibar imesema haina kosa kusajiri hizo meli na kupeperusha bendera za Tanzania kwa sababu Zanzibar ni sehemu ya Muungano hivyo Meli hizo kupeperusha bendera ya Tanzania ni sawa.
Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano wa Zenj bwana Hamad Masoud Hamad anasema kama watanzania tunaona hatari hizo meli kupeperusha bendera ya Tanzania wako tayari kuwapa wa Irani hao bendera za Zanzibar.
Serikali pia ikasema kuwa Makam wa Rais wa Iran aliitembelea zanzibar katika kuhakikisha kuwa anaimarisha uhusiano kati ya Zanzibr na Iran........na serikali ikaahidi kuwa haitajuhusisha na mgogoro kati ya Iran na nchi za Magharibi.
Wazanzibari nao wameunga mkono huo msimamo kwa kusema kuwa sisi kujikomba kwetu kwa wamarekani na uingereza kusisababishe Seriakali kujikomba kwa Tannganyika katika kufanya urafiki na nchi zingine.
Pia katika hali ambayo mimi binafsi sielewi bendera ya Tanzania inaitwa bendera ya 'Mrima" Hebu angalia response za Wazenji hapa wanavyosema...........
"Rocket 01/07/2012 kwa 12:27 mu · Ingia kujibu
Ikiwa sheria ya usajili ni ya Zanzibar, inakuwaje wanaipeperushia bendera ya Mrima. Hawa watu sijui wakoje. Sheria inahusu Zanzibar, lakini wanaipeperusha ya Mrima sasa ina maana gani kutetea waziri wazir wa Zanzibar ikiwa ameruhusu bendera ya Mrima.
Nina hakika wataipachua madama mjomba obama kashatia mdomo wake na vyombo vya habari kama Bloomberg kutangaza kwa domo pana"
Mwingine huyu "
Ghalib 01/07/2012 kwa 12:38 um · Ingia kujibu
"Hapa kweli Hamad masoud kaenda mchomo,inakuwaje meli isajiliwe na zanzibar government ikisha wapewe bendera ya mrima ? Ujinga ulioje huu? Wapeni flag yetu wapeperushe acheni siasa mbovu zanzibar ni nchi, ndani ya bendera ya Znz kuna bendera ya Tz bado haitoshi?
Angalieni ujinga mwengine uliwahi kufanyika,rais wa zanzibar alienda Uturuki akaekewa bendera ya Tz wakati alitakiwa aekewa bendera ya Zanzibar,nafikiri ziara hio ilikuwa last year,ujinga mtupu"
Ghalib tena kaongeza nyingine hiiii
"Raza ameshawambia wajumbe wenziwe kuwa watanganyika washashiba tuacheni sie wenye njaa,tunataka mabara bara na mengineyo ya miundo mbinu hata katika wizara ya afya na elimu,sisi tunanjaa,ndo mana watanganyika wanatuekea vikwazo wao wameshiba kwa misaada yetu,basi na hayo mafuta wacha na sisi tuoge na tunywe,wapeni bendera yetu wapeperushe"
Kwa hili wadau mnisaidie kwa nini bendera ya TZ inaitwa "Mrima" pia msimamo wa Zanzibar kwa hili unatupeleka wapi?
Source: Zanzibar government defends Iranian oil tankers` registration | Mzalendo.net
Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano wa Zenj bwana Hamad Masoud Hamad anasema kama watanzania tunaona hatari hizo meli kupeperusha bendera ya Tanzania wako tayari kuwapa wa Irani hao bendera za Zanzibar.
Serikali pia ikasema kuwa Makam wa Rais wa Iran aliitembelea zanzibar katika kuhakikisha kuwa anaimarisha uhusiano kati ya Zanzibr na Iran........na serikali ikaahidi kuwa haitajuhusisha na mgogoro kati ya Iran na nchi za Magharibi.
Wazanzibari nao wameunga mkono huo msimamo kwa kusema kuwa sisi kujikomba kwetu kwa wamarekani na uingereza kusisababishe Seriakali kujikomba kwa Tannganyika katika kufanya urafiki na nchi zingine.
Pia katika hali ambayo mimi binafsi sielewi bendera ya Tanzania inaitwa bendera ya 'Mrima" Hebu angalia response za Wazenji hapa wanavyosema...........
"Rocket 01/07/2012 kwa 12:27 mu · Ingia kujibu
Ikiwa sheria ya usajili ni ya Zanzibar, inakuwaje wanaipeperushia bendera ya Mrima. Hawa watu sijui wakoje. Sheria inahusu Zanzibar, lakini wanaipeperusha ya Mrima sasa ina maana gani kutetea waziri wazir wa Zanzibar ikiwa ameruhusu bendera ya Mrima.
Nina hakika wataipachua madama mjomba obama kashatia mdomo wake na vyombo vya habari kama Bloomberg kutangaza kwa domo pana"
Mwingine huyu "
Ghalib 01/07/2012 kwa 12:38 um · Ingia kujibu
"Hapa kweli Hamad masoud kaenda mchomo,inakuwaje meli isajiliwe na zanzibar government ikisha wapewe bendera ya mrima ? Ujinga ulioje huu? Wapeni flag yetu wapeperushe acheni siasa mbovu zanzibar ni nchi, ndani ya bendera ya Znz kuna bendera ya Tz bado haitoshi?
Angalieni ujinga mwengine uliwahi kufanyika,rais wa zanzibar alienda Uturuki akaekewa bendera ya Tz wakati alitakiwa aekewa bendera ya Zanzibar,nafikiri ziara hio ilikuwa last year,ujinga mtupu"
Ghalib tena kaongeza nyingine hiiii
"Raza ameshawambia wajumbe wenziwe kuwa watanganyika washashiba tuacheni sie wenye njaa,tunataka mabara bara na mengineyo ya miundo mbinu hata katika wizara ya afya na elimu,sisi tunanjaa,ndo mana watanganyika wanatuekea vikwazo wao wameshiba kwa misaada yetu,basi na hayo mafuta wacha na sisi tuoge na tunywe,wapeni bendera yetu wapeperushe"
Kwa hili wadau mnisaidie kwa nini bendera ya TZ inaitwa "Mrima" pia msimamo wa Zanzibar kwa hili unatupeleka wapi?
Source: Zanzibar government defends Iranian oil tankers` registration | Mzalendo.net