Serikali ya Zanzibar kufunga Camera za CCTV mitaani kukabiliana na Wahalifu

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ, Mhe. Haji Omar Kheri, amesema Zanzibar ina mpango wa kuweka Camera za CCTV katika baadhi ya Maeneo Zanzibar katika kukabiliana na vitendo vya Uhalifu.

Amesema kuweka Camera ni katika hali ya kuimarisha Ulinzi na Usalama ili kuhuisha sekta ya Utalii.

Vilevile kuna Mpango wa kununua boti mpya za uokozi zitakazofanya kazi baharini.
 
hivi bado hawajafunga tu mbona waliliongea hili zamani sana
 
Hizo kamera kazi yake kuu ni kubaini wanaokula mchana wakati wa mfungo wa ramadhani
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ, Mhe. Haji Omar Kheri, amesema Zanzibar ina mpango wa kuweka Camera za CCTV katika baadhi ya Maeneo Zanzibar katika kukabiliana na vitendo vya Uhalifu.

Amesema kuweka Camera ni katika hali ya kuimarisha Ulinzi na Usalama ili kuhuisha sekta ya Utalii.

Vilevile kuna Mpango wa kununua boti mpya za uokozi zitakazofanya kazi baharini.

Me sijaelewa hapa wanfunga camera ndani ya mitaa au maeneo gani mana naona mabarabaran maeneo mengi wamefunga ayo macamera
 
That is a Mass surveillance na tunapiga vita hii kitu kila siku. Hadi wamarekani waliandamana baada ya kugundua serikali yao inawapeleleza, yaani hakuna kitu unafanya serikali haioni. Siyo haki za binadamu hii kitu. Waoreshe ulinzi tu kwa njia nyingine.
 
Hizo kamera kazi yake kuu ni kubaini wanaokula mchana wakati wa mfungo wa ramadhani
Sio vzur wacha uchochezi haipiti siku bila watu kuandika maneno mavi cjui mna chuki za nini kila kitu mnaambatanisha na dini mbona sisi hatupo ivo dini na matendo ya mtu hayaendan kabisa ni binadam mwenyew alivojengwa na nafc yake mbona mambo yanayofanywa na uongoz wetu yanafnywa na mtu wa dini ya pili lakini hakuna porojo za kulinganisha matendo yake na dini sio vzur jirekebishe
 
That is a Mass surveillance na tunapiga vita hii kitu kila siku. Hadi wamarekani waliandamana baada ya kugundua serikali yao inawapeleleza, yaani hakuna kitu unafanya serikali haioni. Siyo haki za binadamu hii kitu. Waoreshe ulinzi tu kwa njia nyingine.
Zilianza kufungwa tangia kile kipindi cha kampeni 2015 cjui lengo ilikua nini na kila cku zilivoongezeka zilkua zinaongezek kufungwa mpka saiv ndo zimezagaa
 
Sio vzur wacha uchochezi haipiti siku bila watu kuandika maneno mavi cjui mna chuki za nini kila kitu mnaambatanisha na dini mbona sisi hatupo ivo dini na matendo ya mtu hayaendan kabisa ni binadam mwenyew alivojengwa na nafc yake mbona mambo yanayofanywa na uongoz wetu yanafnywa na mtu wa dini ya pili lakini hakuna porojo za kulinganisha matendo yake na dini sio vzur jirekebishe
Kwa hiyo hizo kamera zikimuona mtu anagonga menyu mchana mwezi wa ramadhani haitakuwa kosa?
 
Aisee kumbe ishafikia huko. Hatari hii.
Siku ya mwnzo kufika kuziona nikajua taa nilizion ofisi ya raisi tawala za mikoa na idara maalum karbu ya ofisi ya makamu wa raisi Balozi seif nikachekwa kujua ni taa kumbe ni camera zinaangalia kulia kuahoto kusini kaskazin mashariki magharibi juu chini nikapita zangu nicje nikachezeshwa mchura hakuna round about na kona za wkubwa ambazo hazina ayo madude kwa rahisi rahisi huzitambui
 
Kwa hiyo hizo kamera zikimuona mtu anagonga menyu mchana mwezi wa ramadhani haitakuwa kosa?
Kwani zimwfungwa ndani ya huu mwezi? Watu wanafunga kwa ajili ya mambo wanyoona yana msingi kwao sio kwa ajili ya Mungu na ingekuwa wanafanya kwa Mungu haki ingetendeka kwanza kwa raia mana ni makos kwa Mungu kufanya dhulma
 
Kwani zimwfungwa ndani ya huu mwezi? Watu wanafunga kwa ajili ya mambo wanyoona yana msingi kwao sio kwa ajili ya Mungu na ingekuwa wanafanya kwa Mungu haki ingetendeka kwanza kwa raia mana ni makos kwa Mungu kufanya dhulma
Hujajibu swali.
 
Back
Top Bottom