Serikali ya Zambia yafirisika

KunjyGroup

JF-Expert Member
Dec 7, 2009
352
26
Serikali mpya ya Zambia ilipoingia madarakani, nilisifia sana hapa hapa JF msimamo wake wa kizalendo na wengi wenu mulikuwa na mashaka nayo. Nilikanusha vikali... Sasa someni hapa.

President Michael Sata’s government is really running broke with financial resources after exhausting all the money on grand projects meant to appease electorates in various parts of the country in order to win votes, sources at Ministry of Finance and Bank of Zambia have disclosed.

According to sources, ailing dictator -Sata has committed government treasury to so many unplanned and unbudgeted projects through mere pronouncements that were meant to win political support.

“Can you imagine this man was just waking up like God during the creation of the earth and would say I want a road, a stadium, a university, a school, a hospital, a district here and there without consultation with the government treasury and expected those things to merely emerge or germinate like plants using rain water,” sources said.

Sources said Mr. Sata has really put a huge strain on the government treasury and most of those projects may actually never be finished resulting in having a country that will have so many incomplete buildings and roads or some that will be highly compromised due to incomplete or poor construction.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Strains gani zinaleta maendeleo wakati hii ni mismanagement na misappropriation of funds. Njoo Zambia uone biashara za wazawa zilivyo na wakati mgumu wakati WaChina wanachota fedha

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Government ikifilisika kuna mambo mbali mbali yatajitokeza, mfano kwenye mishahara lakini hii ya kulishwa "sources at Ministry of Finance and Bank of Zambia have disclosed" ni siasa za maji taka.
 
Nadhani rais Sata hakuwa na nia mbaya ktk kutumia fedha kwenye miradi ya maendeleo. Sema tu hajapiga hesabu zake vizuri ndio maana kaanzisha miradi mingi bila kuzingatia uwezo wa mfuko wake. Ila at least inajulikana hizo hela zimetumika wapi tofauti na huku kwetu ambapo tumezoea kusikia upotevu
 
Nadhani rais Sata hakuwa na nia mbaya ktk kutumia fedha kwenye miradi ya maendeleo. Sema tu hajapiga hesabu zake vizuri ndio maana kaanzisha miradi mingi bila kuzingatia uwezo wa mfuko wake. Ila at least inajulikana hizo hela zimetumika wapi tofauti na huku kwetu ambapo tumezoea kusikia upotevu


Kwa hiyo na sisi tungekuwa na Rais wa Kusema Jenga Daraja la Tegeta <-->Unguja tungemsifu hata kama lingekuwa la mita 3000... eeeh...

Du Kweli kazi ipo.... Satta hakuomba kura kwenda kujaribu kuongoza aliomba kura kama ultimate solutions kwa matatizo ya Zambia... wake up.
 
Serikali ya Zambia haiwezi kufilisika kisirisiri. Tumeshuhudia nchi kadhaa zikiyumba kiuchumi na dunia nzima inajua. Angalia nchi kama Ugiriki ilivyodorora kiuchumi kila kitu kikaharibika na dunia ilijua. USA ilipotikisika kiuchumi kila mtu alijua.
Angalia nchi za Ureno, Ufaransa, Hispania na Italia zilivyoanza kuhisi hali mbaya ya kiuchumi kila kitu kikawekwa wazi na wananchi kujiandaa kukabiliana na hali hiyo.

Raisi Michael Satta hawezi kuwa mpuuzi kiasi cha kutumia fedha zote katika miradi bila kujua uwezo wa nchi yake hadi kupelekea nchi kufilisika, wala siamini kama kweli serikali yake imefilisika. Kilichopo hapa ni siasa tu za majitaka ya mtaroni za wapinzani wake kwakuwa ameonyesha kuwa anaweza kufanya kazi kwa manufaa ya wananchi wake badala ya kuzifuja fedha za umma kwa manufaa yake binafsi.

Mleta thread kunjygroup tupe reliable source au link ya hizi taarifa zako tuzihakiki.
 
Last edited by a moderator:
Serikali ya Zambia haiwezi kufilisika kisirisiri. Tumeshuhudia nchi kadhaa zikiyumba kiuchumi na dunia nzima inajua. Angalia nchi kama Ugiriki ilivyodorora kiuchumi kila kitu kikaharibika na dunia ilijua. USA ilipotikisika kiuchumi kila mtu alijua.
Angalia nchi za Ureno, Ufaransa, Hispania na Italia zilivyoanza kuhisi hali mbaya ya kiuchumi kila kitu kikawekwa wazi na wananchi kujiandaa kukabiliana na hali hiyo.

Raisi Michael Satta hawezi kuwa mpuuzi kiasi cha kutumia fedha zote katika miradi bila kujua uwezo wa nchi yake hadi kupelekea nchi kufilisika, wala siamini kama kweli serikali yake imefilisika. Kilichopo hapa ni siasa tu za majitaka ya mtaroni za wapinzani wake kwakuwa ameonyesha kuwa anaweza kufanya kazi kwa manufaa ya wananchi wake badala ya kuzifuja fedha za umma kwa manufaa yake binafsi.

Mleta thread kunjygroup tupe reliable source au link ya hizi taarifa zako tuzihakiki.

Jamaa hajaweka source hat aya hovyo tuu.Pia alivyoiongea ni km anataka kuitumia kuwatisha watz...pi anasahu kuwa upatu wetu tuliowpaigia wachina kwa mali za zambia ni dhambia nyingine ya JK ,kutoka y anchini kwetu, na sasa anachofanya kwa Congo.

Wachina wameenda mbali zaidi ya kuwaibia shaba kupitia Tanzara ila pia biashara ziuazo ushindani,ukwepaji kodi na wizi wa hawa wafanyabiashara mchana mjini, huku ni wachimbaji wa madini maporini.

Pia zambia kufilisika si ajabu hata Dubai ilifilisika na hadi sasa inaendeshwa kwa mkopo wa Abu Dhabi.Sasa kwanini iwe ajabu kwa zambia waliopokea nchi imetimbwa km CCM ya leo na Tanzania yetu.
 
Nadhani rais Sata hakuwa na nia mbaya ktk kutumia fedha kwenye miradi ya maendeleo. Sema tu hajapiga hesabu zake vizuri ndio maana kaanzisha miradi mingi bila kuzingatia uwezo wa mfuko wake. Ila at least inajulikana hizo hela zimetumika wapi tofauti na huku kwetu ambapo tumezoea kusikia upotevu

Project on progress at Uswis banks
 
Government ikifilisika kuna mambo mbali mbali yatajitokeza, mfano kwenye mishahara lakini hii ya kulishwa "sources at Ministry of Finance and Bank of Zambia have disclosed" ni siasa za maji taka.

Wabongo bwana kila kitu wao ni CCM vs CHADEMA, Maadamu huyo Sata lipendwa na CHADEMA basi chochote atakachofanya hata kiwe kibaya kiasi gani, kitabarikiwa na kugeuzwa kuwa kizuri, na mbaya zaidi mtu wala hajawahi kufika Zambia wala hajui lolote kuhusu Zambia!
 
Serikali mpya ya Zambia ilipoingia madarakani, nilisifia sana hapa hapa JF msimamo wake wa kizalendo na wengi wenu mulikuwa na mashaka nayo. Nilikanusha vikali... Sasa someni hapa.

President Michael Sata's government is really running broke with financial resources after exhausting all the money on grand projects meant to appease electorates in various parts of the country in order to win votes, sources at Ministry of Finance and Bank of Zambia have disclosed.

According to sources, ailing dictator -Sata has committed government treasury to so many unplanned and unbudgeted projects through mere pronouncements that were meant to win political support.

"Can you imagine this man was just waking up like God during the creation of the earth and would say I want a road, a stadium, a university, a school, a hospital, a district here and there without consultation with the government treasury and expected those things to merely emerge or germinate like plants using rain water," sources said.

Sources said Mr. Sata has really put a huge strain on the government treasury and most of those projects may actually never be finished resulting in having a country that will have so many incomplete buildings and roads or some that will be highly compromised due to incomplete or poor construction.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums


Story grossly biased! Grossly one sided! Story should NOT be believed. It is most likely a lie....
 
Jamaa hajaweka source hat aya hovyo tuu.Pia alivyoiongea ni km anataka kuitumia kuwatisha watz...pi anasahu kuwa upatu wetu tuliowpaigia wachina kwa mali za zambia ni dhambia nyingine ya JK ,kutoka y anchini kwetu, na sasa anachofanya kwa Congo.

Wachina wameenda mbali zaidi ya kuwaibia shaba kupitia Tanzara ila pia biashara ziuazo ushindani,ukwepaji kodi na wizi wa hawa wafanyabiashara mchana mjini, huku ni wachimbaji wa madini maporini.

Pia zambia kufilisika si ajabu hata Dubai ilifilisika na hadi sasa inaendeshwa kwa mkopo wa Abu Dhabi.Sasa kwanini iwe ajabu kwa zambia waliopokea nchi imetimbwa km CCM ya leo na Tanzania yetu.

Kwa nini kila kitu ni CHADEMA vs CCM tu? Kwani hakuna jinsi ngedere tunaweza kujadili bila kuiingiza CCM?
 
Kwa nini kila kitu ni CHADEMA vs CCM tu? Kwani hakuna jinsi ngedere tunaweza kujadili bila kuiingiza CCM?

Ndio perception ya CCM..CCM hawawezi ongea,changia kitu bila reference ya CDM.CDM na wengine lazim wajibu hivyohivyo kwani ndio kujibu shutuma.
 
Back
Top Bottom