Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,685
- 29,007
Mzuka wanaJamvi.
Serikali ya Uturuki mara moja imezima mitandao yote ya kijamii Facebook, Twitter, WhatsApp, Viber na mengine. Uamuzi huo umekuja baada ya La kundi La kihuni ISIS kuposti Video wakiwachoma moto askari wa Uturuki wakiwa hai baada ya kuwashika mateka huko Alepo Syria. Maamuzi haya ya Serikali ya Uturuki ni kuzuia raia wake wasione raia wenzao walivyokufa kikatili. Dah ISIS!
WATCH: New ISIS Video Burns 2 Caged Turkish Soldiers to Death in Aleppo
Serikali ya Uturuki mara moja imezima mitandao yote ya kijamii Facebook, Twitter, WhatsApp, Viber na mengine. Uamuzi huo umekuja baada ya La kundi La kihuni ISIS kuposti Video wakiwachoma moto askari wa Uturuki wakiwa hai baada ya kuwashika mateka huko Alepo Syria. Maamuzi haya ya Serikali ya Uturuki ni kuzuia raia wake wasione raia wenzao walivyokufa kikatili. Dah ISIS!
WATCH: New ISIS Video Burns 2 Caged Turkish Soldiers to Death in Aleppo