Serikali ya unafiki: Hivi kati ya sherehe ya Uhuru/Muungano na mbio za mwenge zipi zina matumizi ya hovyo?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Hivi serikali ya awamu ya tano mbona wako kinafiki nafiki sana? Full kujiaibisha na kuuza utu wao kwa wananchi wanaowaona wajinga kumbe wao ndio limbukeni na washamba?

Bajeti ya mbio za mwenge ni almost bil 300- 350 kwa mwaka kinachokimbizwa ni moto kwenda kuzindua miradi ambayo diwani, rc, dc, mkurugenzi wanaweza kuizindua. Na miradi mingine siku hizi wanagombea kati ya rais na mwenge.

Na bajeti ya sherehe za uhuru/muungano haizidi bil 1 kwa mwaka.

Hivi kati ya mbio za mwenge na sherehe za uhuru ni ipi inajenga na kuchochea uzalendo?

Mwenge unafaida gani kwa taifa? Hadi kuwasha na kuzima rais anakuwepo ila sherehe za uhuru hataki kwenda wala kuwepo na anatamani kuifuta kabisa.

Ivi kama hawataki muungano si waseme turudishe Tanganyika yetu?
 
Mtoa mada rudi shule kwanza harfu ndo uje Tena maana ulichokiandika Ni upuuzi mtupu kwa watu tunaojua Mambo ya kizalendo. Hujui chochote kuhusu uzalendo zaidi ya kubwabwaja TU.

Harafu inaonekana hujabahatika kusoma hata somo la civics ndo maana unaona unapinganisha mwenge na sherehe za kawaida Kama muungano na Uhuru. Bila kujua ndani ya mbio za mwenge visherehe vyote unavyoviona vikubwa kwako vipo ndani yake na ndo maana unaitwa mwenge wa Uhuru na wala siyo mwenge wa miradi kama Akri yako finyu inavyofkri.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unatoa data kamili ya miradi iliyotekelezwa na ambayo haijatekelezwa nchi nzima.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unasaidia kuibua upigaji na ufisadi ulijificha nchini juu ya maendeleo ya nchi.

Hujui Kama mwenge wa Uhuru ndo unadumisha muungano.

My note; Kuna Mambo mengi Sana usiyoyajua kuhusu mwenge wa Taifa ndo maana unakurupuka TU.

Hivi Kama Taifa likimuachia diwani wako uliye muchagua baada ya kukunulia mataptapu vilabuni Kuna miradi ambayo itatekelezwa kwa weredi kweli??


Think twice...
 
nawewe umezidi bwana, mwenge wa uhuru haupiti mle kwenye mashaka ya CAG, unashghulika na vimradi vya halmashauri
 
Mtoa mada rudi shule kwanza harfu ndo uje Tena maana ulichokiandika Ni upuuzi mtupu kwa watu tunaojua Mambo ya kizalendo. Hujui chochote kuhusu uzalendo zaidi ya kubwabwaja TU.

Harafu inaonekana hujabahatika kusoma hata somo la civics ndo maana unaona unapinganisha mwenge na sherehe za kawaida Kama muungano na Uhuru. Bila kujua ndani ya mbio za mwenge visherehe vyote unavyoviona vikubwa kwako vipo ndani yake na ndo maana unaitwa mwenge wa Uhuru na wala siyo mwenge wa miradi kama Akri yako finyu inavyofkri.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unatoa data kamili ya miradi iliyotekelezwa na ambayo haijatekelezwa nchi nzima.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unasaidia kuibua upigaji na ufisadi ulijificha nchini juu ya maendeleo ya nchi.

Hujui Kama mwenge wa Uhuru ndo unadumisha muungano.

My note; Kuna Mambo mengi Sana usiyoyajua kuhusu mwenge wa Taifa ndo maana unakurupuka TU.

Hivi Kama Taifa likimuachia diwani wako uliye muchagua baada ya kukunulia mataptapu vilabuni Kuna miradi ambayo itatekelezwa kwa weredi kweli??


Think twice...
kweli,upigaji unaibuliwa na mwenge ndio maana namba za upigaji zinapungua toka 1.5T mpaka 2.4T +
 
Mtoa mada rudi shule kwanza harfu ndo uje Tena maana ulichokiandika Ni upuuzi mtupu kwa watu tunaojua Mambo ya kizalendo. Hujui chochote kuhusu uzalendo zaidi ya kubwabwaja TU.

Harafu inaonekana hujabahatika kusoma hata somo la civics ndo maana unaona unapinganisha mwenge na sherehe za kawaida Kama muungano na Uhuru. Bila kujua ndani ya mbio za mwenge visherehe vyote unavyoviona vikubwa kwako vipo ndani yake na ndo maana unaitwa mwenge wa Uhuru na wala siyo mwenge wa miradi kama Akri yako finyu inavyofkri.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unatoa data kamili ya miradi iliyotekelezwa na ambayo haijatekelezwa nchi nzima.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unasaidia kuibua upigaji na ufisadi ulijificha nchini juu ya maendeleo ya nchi.

Hujui Kama mwenge wa Uhuru ndo unadumisha muungano.

My note; Kuna Mambo mengi Sana usiyoyajua kuhusu mwenge wa Taifa ndo maana unakurupuka TU.

Hivi Kama Taifa likimuachia diwani wako uliye muchagua baada ya kukunulia mataptapu vilabuni Kuna miradi ambayo itatekelezwa kwa weredi kweli??


Think twice...
We lijamaa ni li kilaza kweli
 
Mtoa mada rudi shule kwanza harfu ndo uje Tena maana ulichokiandika Ni upuuzi mtupu kwa watu tunaojua Mambo ya kizalendo. Hujui chochote kuhusu uzalendo zaidi ya kubwabwaja TU.

Harafu inaonekana hujabahatika kusoma hata somo la civics ndo maana unaona unapinganisha mwenge na sherehe za kawaida Kama muungano na Uhuru. Bila kujua ndani ya mbio za mwenge visherehe vyote unavyoviona vikubwa kwako vipo ndani yake na ndo maana unaitwa mwenge wa Uhuru na wala siyo mwenge wa miradi kama Akri yako finyu inavyofkri.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unatoa data kamili ya miradi iliyotekelezwa na ambayo haijatekelezwa nchi nzima.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unasaidia kuibua upigaji na ufisadi ulijificha nchini juu ya maendeleo ya nchi.

Hujui Kama mwenge wa Uhuru ndo unadumisha muungano.

My note; Kuna Mambo mengi Sana usiyoyajua kuhusu mwenge wa Taifa ndo maana unakurupuka TU.

Hivi Kama Taifa likimuachia diwani wako uliye muchagua baada ya kukunulia mataptapu vilabuni Kuna miradi ambayo itatekelezwa kwa weredi kweli??


Think twice...
Usitulishe matango mkuu,hayo maneno kawambie bibi zetu kijijini.
 
Mtoa mada rudi shule kwanza harfu ndo uje Tena maana ulichokiandika Ni upuuzi mtupu kwa watu tunaojua Mambo ya kizalendo. Hujui chochote kuhusu uzalendo zaidi ya kubwabwaja TU.

Harafu inaonekana hujabahatika kusoma hata somo la civics ndo maana unaona unapinganisha mwenge na sherehe za kawaida Kama muungano na Uhuru. Bila kujua ndani ya mbio za mwenge visherehe vyote unavyoviona vikubwa kwako vipo ndani yake na ndo maana unaitwa mwenge wa Uhuru na wala siyo mwenge wa miradi kama Akri yako finyu inavyofkri.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unatoa data kamili ya miradi iliyotekelezwa na ambayo haijatekelezwa nchi nzima.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unasaidia kuibua upigaji na ufisadi ulijificha nchini juu ya maendeleo ya nchi.

Hujui Kama mwenge wa Uhuru ndo unadumisha muungano.

My note; Kuna Mambo mengi Sana usiyoyajua kuhusu mwenge wa Taifa ndo maana unakurupuka TU.

Hivi Kama Taifa likimuachia diwani wako uliye muchagua baada ya kukunulia mataptapu vilabuni Kuna miradi ambayo itatekelezwa kwa weredi kweli??


Think twice...
Ombi : Utoaji mimba uruhusiwe ili kunusuru Wazazi kuzaa mitoto miboya kama huyu , ni hasara kubwa mno kwa Taifa
 
Mwenge haupangiwi bajeti kubwa kwakuwa wananchi ndio huchangia kwa kaisi kikubwa pamoja na wadau mbalimbali ndani ya halmashauri husika. Muulizeni CAG anaona katika ukaguzi wake
 
Mtoa mada rudi shule kwanza harfu ndo uje Tena maana ulichokiandika Ni upuuzi mtupu kwa watu tunaojua Mambo ya kizalendo. Hujui chochote kuhusu uzalendo zaidi ya kubwabwaja TU.

Harafu inaonekana hujabahatika kusoma hata somo la civics ndo maana unaona unapinganisha mwenge na sherehe za kawaida Kama muungano na Uhuru. Bila kujua ndani ya mbio za mwenge visherehe vyote unavyoviona vikubwa kwako vipo ndani yake na ndo maana unaitwa mwenge wa Uhuru na wala siyo mwenge wa miradi kama Akri yako finyu inavyofkri.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unatoa data kamili ya miradi iliyotekelezwa na ambayo haijatekelezwa nchi nzima.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unasaidia kuibua upigaji na ufisadi ulijificha nchini juu ya maendeleo ya nchi.

Hujui Kama mwenge wa Uhuru ndo unadumisha muungano.

My note; Kuna Mambo mengi Sana usiyoyajua kuhusu mwenge wa Taifa ndo maana unakurupuka TU.

Hivi Kama Taifa likimuachia diwani wako uliye muchagua baada ya kukunulia mataptapu vilabuni Kuna miradi ambayo itatekelezwa kwa weredi kweli??


Think twice...
Baada ya kuona umetumia maneno "harafu" badala ya halafu na "akri" badala ya akili nimekuelewa ni mtu wa level ipi. Nimuombe uliye m quote asipoteze muda wake kukujibu
 
Mwenge wa Uhuru ndio chanzo kikuu cha maambukizi mapya ya Ukimwi , Utafiti wa awali unaonyesha kwamba Hakuna mradi wowote uliozinduliwa na Mbio za mwenge uliowahi kudumu hata kwa miezi 6
 
Mbio za mwenge hazina tija yoyote ile kwa Taifa huru la Tanzania. Eti Mwenge wa Uhuru! Si uwekwe kwenye Makumbusho ya Taifa ili kuvutia Watalii wa ndani na nje?

Ni matumizi mabaya tu ya pesa za walipa kodi na kuleta tu usumbufu kwa watumishi wa umma na wafanyabiashara wanaolazimishwa kuchangia hizo mbio kila mwaka pasipo hiyari yao.
 
Wewe povu jingi humu,mnafiki mkubwa ni nyie mnaojifanya kuupenda muungano wakati ukweli hamuupendi.
Mwenge wa uhuru uko kwenye tunu za taifa na urithi wa historia ya nchi.
Nyinyi fukyn wala chips kizazi cha mlegezo hamuelewi thamani yake.
Mnachoelewa ni kuwaita wezi wajanja.
Tulia tukunyoshee njia.

#2020 - 2025 tunasimama na buldozer JPM
 
Mtoa mada rudi shule kwanza harfu ndo uje Tena maana ulichokiandika Ni upuuzi mtupu kwa watu tunaojua Mambo ya kizalendo. Hujui chochote kuhusu uzalendo zaidi ya kubwabwaja TU.

Harafu inaonekana hujabahatika kusoma hata somo la civics ndo maana unaona unapinganisha mwenge na sherehe za kawaida Kama muungano na Uhuru. Bila kujua ndani ya mbio za mwenge visherehe vyote unavyoviona vikubwa kwako vipo ndani yake na ndo maana unaitwa mwenge wa Uhuru na wala siyo mwenge wa miradi kama Akri yako finyu inavyofkri.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unatoa data kamili ya miradi iliyotekelezwa na ambayo haijatekelezwa nchi nzima.

Hujui kuwa mwenge wa Uhuru ndo huwa unasaidia kuibua upigaji na ufisadi ulijificha nchini juu ya maendeleo ya nchi.

Hujui Kama mwenge wa Uhuru ndo unadumisha muungano.

My note; Kuna Mambo mengi Sana usiyoyajua kuhusu mwenge wa Taifa ndo maana unakurupuka TU.

Hivi Kama Taifa likimuachia diwani wako uliye muchagua baada ya kukunulia mataptapu vilabuni Kuna miradi ambayo itatekelezwa kwa weredi kweli??


Think twice...
Mwenge wa Uhuru ni jini moja wapo lililobaki likiwanyonya Wananchi, michango ya lazima, Kuchochea ngono na maambukizi ya UKIMWI na mengine mengi tu.
Sisi wakulima tuishio vijijini hususani huku porini ndani ndani hatuoni umuhimu wa kuwa na mwenge.
 
Back
Top Bottom