Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Jamani eeeh, tumekuwa tunalalamika bure kuwa Uingereza inatulazimisha kukumbatia ushoga, kule Zenj mbona miaka mingi tulikuwa tunasikia upo? Kuna wanaume wazima wanaoana kule na nimeshawahi kuona picha moja ya ndoa ya ushoga.
Kwa nini serikali ya umoja wa kitaifa (CUF na CCM) ya huko Zenj isitoe tamko kwamba ushoga tunao Zenj kwa miaka mingi tu, na tamko la Cameron limechelewa sana?
Kwa nini serikali ya umoja wa kitaifa (CUF na CCM) ya huko Zenj isitoe tamko kwamba ushoga tunao Zenj kwa miaka mingi tu, na tamko la Cameron limechelewa sana?